Kombinesheni ipi ya wachezaji unaikubali katika soka?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Mimi nimewahi kukunwa na kombinesheni hizi zifuatazo katika soka;
1. Robben na Ribery katika wingi ya Bayern Munchen
2.Andreas Iniesta na Xavi Hernandez katika kiungo cha Barcelona
3.Rio Ferdinand na Nemanja Vidic katika beki ya Man Utd

karibu utujuze ya kwako iliyokuvutia.
 

Mimi naikubali ya Damian Lubuva dimba la chini na Salum Jecha dimba la juu. Hapo ni mbele kwa mbele tupu!
 
Moja kati ya kombinesheni bora ya wakati wote toka ulimwengu uumbwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…