Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Mimi nimewahi kukunwa na kombinesheni hizi zifuatazo katika soka;
1. Robben na Ribery katika wingi ya Bayern Munchen
2.Andreas Iniesta na Xavi Hernandez katika kiungo cha Barcelona
3.Rio Ferdinand na Nemanja Vidic katika beki ya Man Utd
karibu utujuze ya kwako iliyokuvutia.
1. Robben na Ribery katika wingi ya Bayern Munchen
2.Andreas Iniesta na Xavi Hernandez katika kiungo cha Barcelona
3.Rio Ferdinand na Nemanja Vidic katika beki ya Man Utd
karibu utujuze ya kwako iliyokuvutia.