Kuna sheria ktk hostel za vyuo vikuu usiingize mwanamke au mwanamme ktk kufanya mapenzi.
Cha ajabu ukipita mapokezi histel maboksi ya condom yamejaa kwa ajili ya watu wa hostel.
Nimetembelea vyuo vikuu vingi Tanzania nimeona hivyo ukiondoa Muslim University Morogoro jambo hilo halipo Swali.
Nani anatakiwa atumie na wapi?
Cha ajabu ukipita mapokezi histel maboksi ya condom yamejaa kwa ajili ya watu wa hostel.
Nimetembelea vyuo vikuu vingi Tanzania nimeona hivyo ukiondoa Muslim University Morogoro jambo hilo halipo Swali.
Nani anatakiwa atumie na wapi?