Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengine si ya kusema yote mkuu. Ni mwiko kutoa siri za kambiSiku tembelea mgodini hasa ijumaa mchana utaona supply ya canter imapeleka condoms boxes za kutosha......ikifika saa 1 jioni wametoka job hutaamini.....wale wahudumu usafi etc wanapiga day worker hata watu 3....kabla saa 5 kwenda kulala kwa no 4.....ni balaa sanaa....ukiwa mke au mume mgodini andika maymivuuuu......nimeishi mwezi 1 niluooona adante.....siri ya kambi.......shidaaaa
Kuna sheria ktk hostel za vyuo vikuu usiingize mwanamke au mwanamme ktk kufanya mapenzi.
Cha ajabu ukipita mapokezi histel maboksi ya condom yamejaa kwa ajili ya watu wa hostel.
Nimetembelea vyuo vikuu vingi Tanzania nimeona hivyo ukiondoa Muslim University Morogoro jambo hilo halipo Swali.
Nani anatakiwa atumie na wapi?
Wanatumia kama chandarua usiku?Kwa vile hizo siyo nguo kama mashati, haipo shaka wanaozichukua zinawalinda na maambukizi.
hawa ni wale walimu wa daraja la 3A sishangai akishituka wao vyuo vyao wana kengele na viwanja vya kufagia huku wakiwa na zamu ya kudeki DHLabda kama hujapitia chuo ndio utashtuka mkuu
Kujaziwa mikondom ndio ujanja?hawa ni wale walimu wa daraja la 3A sishangai akishituka wao vyuo vyao wana kengele na viwanja vya kufagia huku wakiwa na zamu ya kudeki DH
Kwani ukinunua nyama buchani hadi uipikie hapo hapo?Kuna sheria ktk hostel za vyuo vikuu usiingize mwanamke au mwanamme ktk kufanya mapenzi.
Cha ajabu ukipita mapokezi histel maboksi ya condom yamejaa kwa ajili ya watu wa hostel.
Nimetembelea vyuo vikuu vingi Tanzania nimeona hivyo ukiondoa Muslim University Morogoro jambo hilo halipo Swali.
Nani anatakiwa atumie na wapi?
Hilo ni tatizo😁😁😁😁😁hawa ni wale walimu wa daraja la 3A sishangai akishituka wao vyuo vyao wana kengele na viwanja vya kufagia huku wakiwa na zamu ya kudeki DH
Watumishi wa umma wana mishaharaMimi nashauri waweke pia kwenye ofisi za utimishi wa umma
nakuelewa ndugu tatizo unapaswa kuelewa pale panatolewa elimu kwa watu wazima na utu uzima dawa shekhKujaziwa mikondom ndio ujanja?
Wanatumia kama chandarua usiku?
mkuu kwamba hostel unafungiwa hutoki, huruhusiwi kulala njeHostel unalala muda wa kutoka saa ngapi?
Kanisani zipo?nakuelewa ndugu tatizo unapaswa kuelewa pale panatolewa elimu kwa watu wazima na utu uzima dawa shekh
kwani kanisani ni eneo la kulala au kuabudu?Kanisani zipo?
ZipoMimi nashauri waweke pia kwenye ofisi za utimishi wa umma
Kwahiyo mnakulana kavu?.HAta Catholic University pale bugando hilo jambo halipo.