Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
...."LETA NYUMA KULIA, KATA VIZURI" Apo wanatoa gari stendi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HAMNA TASA BANA, TIMING ZAKO NDIO MBOVU!
Stendi ipi[emoji32][emoji32]...."LETA NYUMA KULIA, KATA VIZURI" Apo wanatoa gari stendi.
Habari za wakati huu wakuu, nielekee moja kwa moja kama kchwa cha habari kinavoelekeza, na imani miongoni mwetu n watumiaji wazuri wa daladala, komenti kwa kutaja/kutoa kauli ulizowahi kuzisikia kwenye daladala naanza na hii
"IKISIMAMA NTAKUPA"
Endelea....
Ahahaha we mwenyewe wa stend alaf unauliza ivo kwann tusipande na zpo kwa ajili ya watu ambao n sisiHadi tarehe ya leo bado mnapanda daladala ?
Shangazi hapo nyuma toaHapo mbele naomba[emoji12]
Sana tu na tutaendelea kuzipanda sana.Hadi tarehe ya leo bado mnapanda daladala ?
Mtu mzima hapangwi jamani...