Komesha harufu kali ya miguu kwa kutumia VODKA

Komesha harufu kali ya miguu kwa kutumia VODKA

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
TIBA MBADALA NA BUJIBUJI
Hamna kitu inakera kama kwenda ugenini huku ukijua wazi kabisa kuwa miguu yako inatema chechex hadi moto unaweza kuwaka kwa harufu Kali.

Kama unajijua unapitia tatizo hilo hamna noma, Bujibuji's Remedies inafanya kazi kwa ajili yako.

Chukua buku mbili yako, ingia kwenye kiduka cha Mangi, agiza pombe yoyote kali, hizi za buku mbili mbili. Ukiweza chukua na pair moja ya soksi mpya.

Vua ndula zako osha miguu kisha iache ikauke. Tumia leso au pamba kupaka hiyo pombe miguu yako . Paka na paka tena hadi miguu ikate kabisa harufu. Vaa soksi yako mpya kisha nenda ukweni utakuja nishukuru baadaye.
Usinuke miguu uncle Bujibuji hapendi, atakuchapa.jpg

Pombe kali huua bacteria na kuondoa unyevu uliopitiliza. Pia waweza kumimina pombe kali kwenye chupa ya spray na ukawa unaipulizia miguu yako mara kwa mara na harufu itakukimbia.

Pia waweza kuimimina pombe kali kwenye beseni kisha ukadumbukiza miguu yako na kuiloweka humo kwa dakika 1O hadi 15. Toa miguu majini, ianike sehemu yenye hewa ya kutosha na kavu, iache miguu ikauke. Ikikauka vaa soksi zako kavu na safi, kisha nenda popote ukafurahie maisha.
 
Nakumbuka nilisha wahi kupata demu mzuri kwelikweli, siku hiyo anakuja ghetto kavaa raba zake za Andy1 kali sana, Unyakyusa mwingi, basi mambo yameenda vizuri sana kasheshe likaja alipozivua.

Gentleman mimi nilikuwa na Mycota powder nikanyunyiza, kisha nikaenda kuzianika juani. Demu aliona aibu sana, akawa anaomba msamaha kwa kuchafua hali ya hewa.

Nikachemsha maji kwenye birika la umeme, nika dilute na ya baridi likapatokana joto fulani hivi muruwa sana lenye uwezo wa kuamsha na kuchochea moto wa mapenzi fasta.

Nikachukua shower gel yangu ya Piere Cardin, nikaidumbukiza miguu yake kwenye beseni lililokuwa na yale maji matamu. Nikaweka unyunyu mle wa Kiitaliano, chumba kizima harufu nzuri ikatawala.

Nikaanza kumuosha miguu huku nikim massage na kum tantalise, mara nimeshika hapa mara pale, demu anapiga tu kelele za mara.

Akapigwa dodoki la kufa mtu.

Ukitaka demu akuheshimu, mfanyie wema kwenye madhaifu na mapungufu yake

1676516561112.png
unaweza u
 
Pia waweza kuimimina pombe kali kwenye beseni kisha ukadumbukiza miguu yako na kuiloweka humo kwa dakika 1O hadi 15. Toa miguu majini, ianike sehemu yenye hewa ya kutosha na kavu, iache miguu ikauke. Ikikauka vaa soksi zako kavu na safi, kisha nenda popote ukafurahie maisha.
Halafu ukishamaliza zoezi Zima Ile pombe unaipeleka wapi? Unaimwaga? Dah
 
Kuna watu wananuka viatu hatari,yani akiingia mgahawani/cafe unaacha na msosi
 
TIBA MBADALA NA BUJIBUJI
Hamna kitu inakera kama kwenda ugenini huku ukijua wazi kabisa kuwa miguu yako inatema chechex hadi moto unaweza

Kumbe kazi ya pombe haswa ni kuua fungus za miguuni!!, sasa ni nani huyo hayawani aliyebuni unywaji wa pombe??.

Ila niende ukweni na soksi zinazonuka harufu ya ulabu, Wakwe watanielewa??!!--- unanitakia mema kweli mkuu Buji??🤣🤣
 
TIBA MBADALA NA BUJIBUJI
Hamna kitu inakera kama kwenda ugenini huku ukijua wazi kabisa kuwa miguu yako inatema chechex hadi moto unaweza kuwaka kwa harufu Kali.

Kama unajijua unapitia tatizo hilo hamna noma, Bujibuji's Remedies inafanya kazi kwa ajili yako.

Chukua buku mbili yako, ingia kwenye kiduka cha Mangi, agiza pombe yoyote kali, hizi za buku mbili mbili. Ukiweza chukua na pair moja ya soksi mpya.

Vua ndula zako osha miguu kisha iache ikauke. Tumia leso au pamba kupaka hiyo pombe miguu yako . Paka na paka tena hadi miguu ikate kabisa harufu. Vaa soksi yako mpya kisha nenda ukweni utakuja nishukuru baadaye.
View attachment 2518859
Pombe kali huua bacteria na kuondoa unyevu uliopitiliza. Pia waweza kumimina pombe kali kwenye chupa ya spray na ukawa unaipulizia miguu yako mara kwa mara na harufu itakukimbia.

Pia waweza kuimimina pombe kali kwenye beseni kisha ukadumbukiza miguu yako na kuiloweka humo kwa dakika 1O hadi 15. Toa miguu majini, ianike sehemu yenye hewa ya kutosha na kavu, iache miguu ikauke. Ikikauka vaa soksi zako kavu na safi, kisha nenda popote ukafurahie maisha.
Kwahio hili zoezi zima ni la kukupa ahueni ya siku 1 tu?
 
Kumbe kazi ya pombe haswa ni kuua fungus za miguuni!!, sasa ni nani huyo hayawani aliyebuni unywaji wa pombe??.

Ila niende ukweni na soksi zinazonuka harufu ya ulabu, Wakwe watanielewa??!!--- unanitakia mema kweli mkuu Buji??🤣🤣
Hizo spirits ni nyepesi harufu yake haidumu miguuni kwako inapeperushwa na upepo
 
TIBA MBADALA NA BUJIBUJI
Hamna kitu inakera kama kwenda ugenini huku ukijua wazi kabisa kuwa miguu yako inatema chechex hadi moto unaweza kuwaka kwa harufu Kali.

Kama unajijua unapitia tatizo hilo hamna noma, Bujibuji's Remedies inafanya kazi kwa ajili yako.

Chukua buku mbili yako, ingia kwenye kiduka cha Mangi, agiza pombe yoyote kali, hizi za buku mbili mbili. Ukiweza chukua na pair moja ya soksi mpya.

Vua ndula zako osha miguu kisha iache ikauke. Tumia leso au pamba kupaka hiyo pombe miguu yako . Paka na paka tena hadi miguu ikate kabisa harufu. Vaa soksi yako mpya kisha nenda ukweni utakuja nishukuru baadaye.
View attachment 2518859
Pombe kali huua bacteria na kuondoa unyevu uliopitiliza. Pia waweza kumimina pombe kali kwenye chupa ya spray na ukawa unaipulizia miguu yako mara kwa mara na harufu itakukimbia.

Pia waweza kuimimina pombe kali kwenye beseni kisha ukadumbukiza miguu yako na kuiloweka humo kwa dakika 1O hadi 15. Toa miguu majini, ianike sehemu yenye hewa ya kutosha na kavu, iache miguu ikauke. Ikikauka vaa soksi zako kavu na safi, kisha nenda popote ukafurahie maisha.
Kwan leo umekutana na nini?,mbona unalalamikia harufu ya miguu sanaa😆😆😆
 
Back
Top Bottom