Komesha harufu kali ya miguu kwa kutumia VODKA

Kwan leo umekutana na nini?,mbona unalalamikia harufu ya miguu sanaa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Nimekutana na treni linapita hewani
Kwema Mtumishi, niliona mtu Posta ya Dar leo kama wewee
Nilikuwa nimepotea, kumbe ukipanda Mwendokasi ya Gerezani unaenda Kariakoo, mi nikadhani hili litakuwa linaenda Segerea, nikaamua nipende la Kivukoni nishuke tu Posta ya zamani
 
Sahihi
 
Hahahhahaha umesahau mkuu angalizo hala hala jamani tumia chombo cha usafiri yani upelekwe maana miguu inakuwa imelewa yaani nyayo hazina ushirikiano na vidole yanii unakuwa umelewa nusu(half body drunk)hahaha ni kituko juu upo serious chini umelewa
 
Hahahhahaha umesahau mkuu angalizo hala hala jamani tumia chombo cha usafiri yani upelekwe maana miguu inakuwa imelewa yaani nyayo hazina ushirikiano na vidole yanii unakuwa umelewa nusu(half body drunk)hahaha ni kituko juu upo serious chini umelewa
Haha hah
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Nimefanya ivo lakini bado Navaa viatu Mda mrefu juli gaan na mazingira ya kazi ila iyo haruf Inanikera sana kuna mtu kanambia nipake sabuni inayoitwa be you ila sjaipata madukani kariakoo msaada kwa anaejua zinakopatikana bx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ