Komredi Kinana: Wabunge wa CCM kuweni Wakali kwa Serikali ili iweze kuwatumikia Wananchi kikamilifu

Komredi Kinana: Wabunge wa CCM kuweni Wakali kwa Serikali ili iweze kuwatumikia Wananchi kikamilifu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Komredi Kinana amewataka Wabunge wa CCM kuwa Wakali kwa Serikali I'll matarajio ya Wananchi yafikiwe

Kinana amesema yeye ni muumini wa siasa za kukosoa na kukemea lakini ni lazima Wabunge hao wawe Wakali Kwenye mambo ya msingi na siyo kufanya mbwembwe tu

Kinana amesema Wabunge wasimwachie Majukumu Rais Samia peke yake kwani Nchi Siyo mali ya Rais Bali Rais anawajibika kwenye kutoa Uongozi

Naye mbunge wa Chato Dr Kalemani amemshukuru mzee Kinana na amemwomba awafikishie salamu zao kwa mh Rais Samia na amwambie Wako pamoja naye hivyo Rais Samia atembee kifua mbele

Source ITV habari
 
Kwa Mzee Kinana anawaelekeza waje kutengua walichokipitisha baada vilio vya Tozo kuwa ni kioja kwa East Afrika.
Yaani mafao yanakatwa Tozo kwa kweli nimepanga kurudisha Kadi na kujiondoa ktk nafasi zote ktk shina langu kwani sioni afya ya kuendelea kusalia ndani.
Kusalia ktk mazingira yanayoumiza nafsi ni kujitengenezea magonjwa na dhambi
 
Komredi Kinana amewataka Wabunge wa CCM kuwa Wakali kwa Serikali I'll matarajio ya Wananchi yafikiwe

Kinana amesema yeye ni muumini wa siasa za kukosoa na kukemea lakini ni lazima Wabunge hao wawe Wakali Kwenye mambo ya msingi na siyo kufanya mbwembwe tu

Kinana amesema Wabunge wasimwachie Majukumu Rais Samia peke yake kwani Nchi Siyo mali ya Rais Bali Rais anawajibika kwenye kutoa Uongozi

Naye mbunge wa Chato Dr Kalemani amemshukuru mzee Kinana na amemwomba awafikishie salamu zao kwa mh Rais Samia na amwambie Wako pamoja naye hivyo Rais Samia atembee kifua mbele

Source ITV habari
Hatimaye sukuma gang wasalimu amri, waomba poo kwa Rais SSH kupitia Kinana. Njaa au unafiki?
 
Komredi Kinana amewataka Wabunge wa CCM kuwa Wakali kwa Serikali I'll matarajio ya Wananchi yafikiwe

Kinana amesema yeye ni muumini wa siasa za kukosoa na kukemea lakini ni lazima Wabunge hao wawe Wakali Kwenye mambo ya msingi na siyo kufanya mbwembwe tu

Kinana amesema Wabunge wasimwachie Majukumu Rais Samia peke yake kwani Nchi Siyo mali ya Rais Bali Rais anawajibika kwenye kutoa Uongozi

Naye mbunge wa Chato Dr Kalemani amemshukuru mzee Kinana na amemwomba awafikishie salamu zao kwa mh Rais Samia na amwambie Wako pamoja naye hivyo Rais Samia atembee kifua mbele

Source ITV habari
Danganya toto
 
Wabunge wenyewe kina Babu Tale, Mwana FA, ...........!! Ukali wa utoe wapi??
 
Aache unafiki,waisimamie serikali ya chama Twawala,si wataitwa kusutwa kwenye Party Caucus Dodoma!!
 
Komredi Kinana amewataka Wabunge wa CCM kuwa Wakali kwa Serikali I'll matarajio ya Wananchi yafikiwe

Kinana amesema yeye ni muumini wa siasa za kukosoa na kukemea lakini ni lazima Wabunge hao wawe Wakali Kwenye mambo ya msingi na siyo kufanya mbwembwe tu

Kinana amesema Wabunge wasimwachie Majukumu Rais Samia peke yake kwani Nchi Siyo mali ya Rais Bali Rais anawajibika kwenye kutoa Uongozi

Naye mbunge wa Chato Dr Kalemani amemshukuru mzee Kinana na amemwomba awafikishie salamu zao kwa mh Rais Samia na amwambie Wako pamoja naye hivyo Rais Samia atembee kifua mbele

Source ITV habari
Tatizo kubwa ni ile kamati ya chama ya kupitisha majina ya wagomea huwa haijali matokeo ya kura za maoni
 
Komredi Kinana amewataka Wabunge wa CCM kuwa Wakali kwa Serikali I'll matarajio ya Wananchi yafikiwe

Kinana amesema yeye ni muumini wa siasa za kukosoa na kukemea lakini ni lazima Wabunge hao wawe Wakali Kwenye mambo ya msingi na siyo kufanya mbwembwe tu

Kinana amesema Wabunge wasimwachie Majukumu Rais Samia peke yake kwani Nchi Siyo mali ya Rais Bali Rais anawajibika kwenye kutoa Uongozi

Naye mbunge wa Chato Dr Kalemani amemshukuru mzee Kinana na amemwomba awafikishie salamu zao kwa mh Rais Samia na amwambie Wako pamoja naye hivyo Rais Samia atembee kifua mbele

Source ITV habari
stupid, watakuwa wakali wakati wanategemea ccm iwachague kupata ubunge? Stupid tena na tena!
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Komredi Abdulrahaman Kinana amewataka wabunge kuwa wakali na mambo ya wananchi na kuiwajibisha Serikali.

Kauli hii ya Mzee Kinana inatafsiri gani katika kipindi hiki ambacho Bunge linatupiwa lawama na wananchi kwa kupitisha tozo za simu, tozo katika miamala ya kibenki pamoja na kubariki mipango mbalimbali ya Serikali iliyosababisha hali tulionayo sasa.

Pia usimamizi mbovu wa wabunge katika kuibana Serikali na kusababisha wananchi kukabiliwa na mfumko mkubwa wa bei za bidhaa kutokana na wabunge kushindwa kuiwajibisha Serikali.

 
Kinana anajua wazi hiyo kauli yake haitekelezeki, zama hizi ambazo Rais ameliweka bunge na Spika wake mfukoni, nao wamekubali kuwekwa mfukoni, ni ngumu kufanya anavyotaka Kinana.

Mfano mzuri wa hicho anachokizungumzia Kinana ni nondo za Mpina kule bungeni, tazama anavyouliza kila siku na aina ya majibu anayopewa toka kwa CCM wenzake, wengine mpaka wanamtisha 2025 hatarudi bungeni, jamaa bado wana utumwa mkubwa sana wa kifikra.
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Komredi Abdulrahaman Kinana amewataka wabunge kuwa wakali na mambo ya wananchi na kuiwajibisha Serikali.
Kama mpaka leo wabunge hawajui wajibu wao tuna safari ndefu
 
Kinana anajua wazi hiyo kauli yake haitekelezeki, zama hizi ambazo Rais ameliweka bunge na Spika wake mfukoni, nao wamekubali kuwekwa mfukoni, ni ngumu kufanya anavyotaka Kinana.

Mfano mzuri wa hicho anachokizungumzia Kinana ni nondo za Mpina kule bungeni, tazama anavyouliza kila siku na aina ya majibu anayopewa toka kwa CCM wenzake, wengine mpaka wanamtisha 2025 hatarudi bungeni, jamaa bado wana utumwa mkubwa sana wa kifikra.
 
Back
Top Bottom