Mimi ni mbeba maboksi for life! Sasa kuhitimu kumetoka wapi?
Naomba komredi urudi home maboksi yatakuumiza njoo ugombee mwakani rudi komredi, tunahitaji mchango wako kwa hali na mali rudi home.
Mpwa umeanzisha vita?
haya maboksi ni maboksi tu ya kawaida ama??? palipo na fidel and Xspin itakuwa ni 'maboksi' yasiyo ya kawaida. hebu nielimisheni kabla 2010 haijaingia!!!
Yu knoo woram seyying?
hapo umenikuna
Kuna mabox yenye valuu insaidi! Hayo ndiyo mazuri zaidi! Hata mi huwa nayabebaga pale zero pub. Ila yale yenye mitumba ya watu weupe ndio utata unapoanzia. Yu knoo woram seyying?
vitaa ni vitaa mura!!!!!!
hamna bwana sasa ndio kabisa nimezama in the amazon.....use simple english tafasari.
Hehehe! Itabidi ulipie tuition fees!
sasa mkwe....aka... mpenzi tena nachajiwa tuition? jamani mbona hili lataka kikao cha wazeee!!!!!
Hili swala linazungumzika tu anakubebesha maboksi biashara imekwisha.