Konde Gang fafanueni aliko Ibraah

Konde Gang fafanueni aliko Ibraah

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
images (9) (5).jpeg

Kijana Ibraah tangu ajiunge Konde Gang kama vile yupo shimoni. Alivuma kwa kasi na kupotea, hivi sasa hajulikani aliko, shabiki zake hawajui hali ya kipaji chake pengine kinapotea ama lah.

Konde Gang yapi yanayowasibu mpaka inafikia hatua ya kijana wetu kupotea kimuziki. Ikiwa lebo yenu imeshindwa kusimamia wasanii basi mruhusuni kijana wetu atoke ili akatafute lebo nyingine kwasababu haina maana kumshikilia kijana huyu ikiwa hamuendelezi kipaji chake.

Ibraah ni kijana mtaratibu sana na msiri wa yale yote mabaya anayopitia hana mtetezi wa kumsaidia kulalamika enyi kiwanda cha muziki wa Tanzania msaidieni huyu kijana.
 

Kijana Ibraah tangu ajiunge Konde Gang kama vile yupo shimoni. Alivuma kwa kasi na kupotea, hivi sasa hajulikani aliko, shabiki zake hawajui hali ya kipaji chake pengine kinapotea ama lah.

Konde Gang yapi yanayowasibu mpaka inafikia hatua ya kijana wetu kupotea kimuziki. Ikiwa lebo yenu imeshindwa kusimamia wasanii basi mruhusuni kijana wetu atoke ili akatafute lebo nyingine kwasababu haina maana kumshikilia kijana huyu ikiwa hamuendelezi kipaji chake.

Ibraah ni kijana mtaratibu sana na msiri wa yale yote mabaya anayopitia hana mtetezi wa kumsaidia kulalamika enyi kiwanda cha muziki wa Tanzania msaidieni huyu kijana.
Huyo naye alizidi kimbelembele ,alikuwa anashupalia sana yasiyo muhusu.
Yani ukimgusa kidogo tu Harmonize kanakuja mbio mbio kubwata
 
Konde hana time na label kwa wasanii wapo,alikurupuka kuanzisha label bila mipango na mtaji matokeo yake anamchomesha dogo mahindi.

Hizi label tumwachie Mondi sababu ana moyo wa kumuamini na kuwekeza kwa msanii,kitu ambacho label nyingine wameshindwa.
Amruhusu huyu kijana kuondoka ili akatafute label nyingine, kwanini anamshikilia
 

Kijana Ibraah tangu ajiunge Konde Gang kama vile yupo shimoni. Alivuma kwa kasi na kupotea, hivi sasa hajulikani aliko, shabiki zake hawajui hali ya kipaji chake pengine kinapotea ama lah.

Konde Gang yapi yanayowasibu mpaka inafikia hatua ya kijana wetu kupotea kimuziki. Ikiwa lebo yenu imeshindwa kusimamia wasanii basi mruhusuni kijana wetu atoke ili akatafute lebo nyingine kwasababu haina maana kumshikilia kijana huyu ikiwa hamuendelezi kipaji chake.

Ibraah ni kijana mtaratibu sana na msiri wa yale yote mabaya anayopitia hana mtetezi wa kumsaidia kulalamika enyi kiwanda cha muziki wa Tanzania msaidieni huyu kijana.
Wamakonde wanarima korosho na roho zao ni za korosho
 
Mziki mgumu sana

Ndo maana wanavuta ndumu

Ni heri kupiga kitabu kuliko kuwa mwanamziki,maana mwanamziki kila siku anaumiza kichwa ingawaje nyimbo zingine huwa ni mteremko wanazitungia studio
 
Back
Top Bottom