Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Harmonize anampoteza huyu dogo, angemuacha aende tu zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalau angalau, Amvavaamvava.Hata WCB?
Chawa tufufue ule Uzi wako?Konde hana time na label kwa wasanii wapo,alikurupuka kuanzisha label bila mipango na mtaji matokeo yake anamchomesha dogo mahindi.
Hizi label tumwachie Mondi sababu ana moyo wa kumuamini na kuwekeza kwa msanii,kitu ambacho label nyingine wameshindwa.
Wewe na yeye mnautofauti gani?Chawa tufufue ule Uzi wako?
Ruksa kuuweka Chawa wa Konde Gang, uweke kama upo.Chawa tufufue ule Uzi wako?
Hilo swali nilitakiwa nikuulize wewe chawa mkuu dogo Inno.Wewe na yeye mnautofauti gani?
Hivi kweli Ibra ananing'inia pale!!!!Muulize Miriam Odemba anajua alipo,KondeGang haihusiki
Hapana ilikuwa Kiki tuHivi kweli Ibra ananing'inia pale!!!!
Kafichwa buda,miuno ya shangazi ni balaaHivi kweli Ibra ananing'inia pale!!!!
Nisawa na kaenda na ndoo ya lita 20 kukamua ng'ombe anayetoa lita moja tu. Amwachie dogo aondoke kusaka hifadhi nyingine kijana huyu wanampoteza tuUnajua mkataba ukoje ukivunja mkataba konde boy ni lazima ulipe billion 2 sasa kijana hiyo hela ataitoa wapi?