Konde Gang fafanueni aliko Ibraah

Chawa tufufue ule Uzi wako?
 
Unajua mkataba ukoje ukivunja mkataba konde boy ni lazima ulipe billion 2 sasa kijana hiyo hela ataitoa wapi?
Nisawa na kaenda na ndoo ya lita 20 kukamua ng'ombe anayetoa lita moja tu. Amwachie dogo aondoke kusaka hifadhi nyingine kijana huyu wanampoteza tu
 
Kikundi cha wahuni wa kimakonde yaani Konde Gang πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maniner walahi
boss yuko bsy anajipambania asipotee atamkumbuka dogo saa ngap!
 
Kikundi cha wahuni wa kimakonde yaani Konde Gang πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maniner walahi
boss yuko bsy anajipambania asipotee atamkumbuka dogo saa ngap!
Amwache akatafute pakutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…