Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Harmonize amedhibitisha kuondoka kwa wasanii wake wawili Killy pamoja na Cheed.
Kufuatia tangazo hili, Cheed pamoja na Killy wamefuta post zote katika kurasa zao za Instagram.
Kwa upande wa Killy namkubali sana, nashauri aende wasafi. Anauwezo mkubwa sana wa utunzi wa mashairi, ila promo inamuangusha.
Ni wewe ft harmonize utabaki kuwa wimbo wangu pendwa.
Kufuatia tangazo hili, Cheed pamoja na Killy wamefuta post zote katika kurasa zao za Instagram.
Kwa upande wa Killy namkubali sana, nashauri aende wasafi. Anauwezo mkubwa sana wa utunzi wa mashairi, ila promo inamuangusha.
Ni wewe ft harmonize utabaki kuwa wimbo wangu pendwa.