Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Harmo anaakili mbovu Sana. Kwa kifupi hakuna mtu mwenye akili katika management yake wa kumuambia hichi fanya na hichi usifanye. Hii ni total failure
 
Harmo anaakili mbovu Sana. Kwa kifupi hakuna mtu mwenye akili katika management yake wa kumuambia hichi fanya na hichi usifanye. Hii ni total failure
Wanalipiga piga tuuu , sa hv wameachia washa taaa πŸ˜‚πŸ˜€, badae wataachia nyingine teeena , ha haaaa...Lina miporn ya kutoshaa....
 
Harmo anaakili mbovu Sana. Kwa kifupi hakuna mtu mwenye akili katika management yake wa kumuambia hichi fanya na hichi usifanye. Hii ni total

Wanakera mnoo kutwa thread za harmo yaani hii ni kudhihirisha wamemshindwa!!sijui wakoje
Yani wamemshindwaaa walidhani ni Rich mavoko. Konde kaaga kwao,yani wanampaishaa bila wao kujijua. Kuna mtu anaitwa baba Levo ni mijingaaa yani ni lichawa mpk linatia aibu. Sasa siku uchawa ukiisha haoni mwenzie Aristotee wame mtema.
 
Yani wamemshindwaaa walidhani ni Rich mavoko. Konde kaaga kwao,yani wanampaishaa bila wao kujijua. Kuna mtu anaitwa baba Levo ni mijingaaa yani ni lichawa mpk linatia aibu. Sasa siku uchawa ukiisha haoni mwenzie Aristotee wame mtema.
Ntwaara hatoki boi!!acha wamboost..na km ndo analidudu likubwa mbona kucheleee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…