Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Wanalipiga piga tuuu , sa hv wameachia washa taaa [emoji23][emoji3], badae wataachia nyingine teeena , ha haaaa...Lina miporn ya kutoshaa....
Sio kibongo bongo dogoo!ukitaka kujua mziki wa bongo kiki tulia!mshazoea WCB kutembelea kiki sasa hizo picha Labda km angekua analiwa sawa na subiri within a week ashaongeza followers!! Yaani mmakonde mmebust!kawachezesha mchezo!!!yaani hajadhalilika hata kidogo
 
Hii mitazamo yako ndiyo inayoturudisha nyuma. Pengine Kuna Ukweli katika hili. Shauri yenu ukija kutahamaki gari lishatoka road.
Sio mitazamo ndo ukweli kumbuka mondi ndo mzee wa kiki lakini mbona ndo anatamba sasa!subirini tu hapotei nawaambia time will tell
 
Sio kibongo bongo dogoo!ukitaka kujua mziki wa bongo kiki tulia!mshazoea WCB kutembelea kiki sasa hizo picha Labda km angekua analiwa sawa na subiri within a week ashaongeza followers!! Yaani mmakonde mmebust!kawachezesha mchezo!!!yaani hajadhalilika hata kidogo
Hujui hata WCB wametarget kitu gani ...unafikir ni wala bangi kama wewe , kuna kitu wanakitia nyundo hapo😂😀
 
Hujui hata WCB wametarget kitu gani ...unafikir ni wala bangi kama wewe , kuna kitu wanakitia nyundo hapo[emoji23][emoji3]
Mtajuana ila mi ninachojua kajala kakimbia na chupi mkononi van kuona ile mashine kajikuta kibamia ndio kulalamika huko mitandaoni maana ashajua kwa paula ataogelea....
 
Sio kibongo bongo dogoo!ukitaka kujua mziki wa bongo kiki tulia!mshazoea WCB kutembelea kiki sasa hizo picha Labda km angekua analiwa sawa na subiri within a week ashaongeza followers!! Yaani mmakonde mmebust!kawachezesha mchezo!!!yaani hajadhalilika hata kidogo
Nakupenda sana Raynavero.
 
Mtajuana ila mi ninachojua kajala kakimbia na chupi mkononi van kuona ile mashine kajikuta kibamia ndio kulalamika huko mitandaoni maana ashajua kwa paula ataogelea....
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji16]ahsante umemalizaaa!!!yaani sosho midia zote kitu cha konde
 
Back
Top Bottom