DOKEZO Kondoa Girls High School waalimu wa field wamegeuka walinzi wa shule, usiku kucha hawalali

DOKEZO Kondoa Girls High School waalimu wa field wamegeuka walinzi wa shule, usiku kucha hawalali

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

secretarybird

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
2,998
Reaction score
4,948
Juzi nilipata taarifa kutoka Kwa mwalimu mwenyeji wa shule ya Kondoa girls kuwa kuwa katika shule yao wizi umekithiri sana, mwalimu yule alidai kuwa watu wasiojulikana wanaenda kuiba mbaazi katika shamba la shule na mbaya zaidi watu wale wameanza kutembelea nyumba za waalimu ili kuiba chchote kitu.

Mwalimu mwenyeji aliniambia kuwa katika harakati za kuhakikisha usalama wa shule wameamua kuwatumia waalimu wa mazoezi (field teachers), nilipomuuliza kuwa Kwa nini wanafanya hivyo alidai kuwa hiyo ni moja kati ya extra curricular activities yaani kufanya hiyo shughuli kunaweza kumuongezea mwalimu alama katika teaching practice hata wakapata GPA nzuri.

Mwalimu aliendelea kusema kuwa endapo waalimu wa field hawatashiriki kikamilifu katika suala zima la ulinzi wanaweza wakapata alama duni kwenye external assessment. Naombeni niwaulize Wana JamiiForums iwapo jambo hili la mwalimu wa field kuamka saa nane za usiku hadi saa kumi alfajiri Kwa kushurutishwani sawa au la ilhali Kuna walinzi wa shule wanaolipwa.

Pia habari za kuaminika zinasema baadhi ya walimu hao wanapiga pasi ndefu yaani wanapata msosi mara moja tu Kwa siku Kwa sababu shule iko mbali kidogo na mjini halafu shule haiwapikii chakula cha usiku 🤣🤣🤣😂.

Karibuni Kwa maoni.
 
Kondoa girls naamini wanaolinda ni walimu wa kiume wa kike hapana Sasa hawapaswi kulaumu kabisa na huu ndio ushauri wangu wa mwisho
 
Huo upuuzi nisingefanya hata kidogo!

Unabembeleza GPA Ili upate Nini kwa hiyo GPA coz elimu ya Bongo imeshashuka kiwango na haiajiri tena!!
Siwezi linda usiku kucha Ili nipate A kwenye cheti wakati aliepata A na mwenye C wote wapo mtaani hawana ajira tena!
 
Kondoa girls naamini wanaolinda ni walimu wa kiume wa kike hapana Sasa hawapaswi kulaumu kabisa na huu ndio ushauri wangu wa mwisho
Inasemekana uongozi wa shule uliwataka waalimu wa kike wote (wa field na walioajiriwa) wachange kiasi kidogo cha pesa Kwa ajili ya kununua tochi zitakazotumiwa na waalimu wa kiume katika shughuli ya ulinzi.
TAHADHARI:
Kuna waalimu pale kondoa girls wameoa wengine zamani wengine majuzi, hili suala kunaweza kufanya wake za waalimu kuliwa mbususu na waalimu wengine maana nasikia Kuna makundi mawili ya ulinzi, Sasa nyinyi humuoni ya kwamba waalimu wa kundi A wataliwa wake na waalimu wa kundi B wanapokuwa kwenye lindo and vise versa? 🤣🤣🤣
 
Kondoa girls naamini wanaolinda ni walimu wa kiume wa kike hapana Sasa hawapaswi kulaumu kabisa na huu ndio ushauri wangu wa mwisho

Inasemekana uongozi wa shule uliwataka waalimu wa kike wote (wa field na walioajiriwa) wachange kiasi kidogo cha pesa Kwa ajili ya kununua tochi zitakazotumiwa na waalimu wa kiume katika shughuli ya ulinzi.
TAHADHARI:
Kuna waalimu pale kondoa girls wameoa wengine zamani wengine majuzi, hili suala kunaweza kufanya wake za waalimu kuliwa mbususu na waalimu wengine maana nasikia Kuna makundi mawili ya ulinzi, Sasa nyinyi humuoni ya kwamba waalimu wa kundi A wataliwa wake na waalimu wa kundi B wanapokuwa kwenye lindo and vise versa? 🤣🤣🤣
 
Kwamba A ya teaching practice wanatoa walimu wenyeji khaaaaaaa assessor anakuja kupoteza muda wake tu kwahiyo
 
Inasemekana uongozi wa shule uliwataka waalimu wa kike wote (wa field na walioajiriwa) wachange kiasi kidogo cha pesa Kwa ajili ya kununua tochi zitakazotumiwa na waalimu wa kiume katika shughuli ya ulinzi.
TAHADHARI:
Kuna waalimu pale kondoa girls wameoa wengine zamani wengine majuzi, hili suala kunaweza kufanya wake za waalimu kuliwa mbususu na waalimu wengine maana nasikia Kuna makundi mawili ya ulinzi, Sasa nyinyi humuoni ya kwamba waalimu wa kundi A wataliwa wake na waalimu wa kundi B wanapokuwa kwenye lindo and vise versa? 🤣🤣🤣
Cha msingi wasiondoke nazo
Kuna wakati Geita tuliletewa pigo za ulinzi mi hata usiku mmoja sikuweza na wengine wengi tu hadi utaratibu ukabaki kwa nzengo ulinzi wa usiku mtihani sana
 
Walimu mkiendelea kutojielwa ipo siku mtaambiwa muwe mnaenda kupiga deki nyumbani kwa ofisa elimu.
 
Walimu bongo wanadhalilika sana. Yaani ukisoma tu fani ya ualimu hata fundi viatu anakudharau, hata muosha magari anakudharau.

Fani ya ualimu imeshuka sana hadhi bongo. Mara walimu wachangie mwenge kwa lazima, wahudhurie mikutano ya kisiasa kwa lazima, wapigwe viboko hadharani, wawekee lockup na watendaji wa vijiji na mambo ya ajabu ajabu sana. Walimu bongo wanapitia mengi sana.
 
Juzi nilipata taarifa kutoka Kwa mwalimu mwenyeji wa shule ya Kondoa girls kuwa kuwa katika shule yao wizi umekithiri sana, mwalimu yule alidai kuwa watu wasiojulikana wanaenda kuiba mbaazi katika shamba la shule na mbaya zaidi watu wale wameanza kutembelea nyumba za waalimu ili kuiba chchote kitu.

Mwalimu mwenyeji aliniambia kuwa katika harakati za kuhakikisha usalama wa shule wameamua kuwatumia waalimu wa mazoezi (field teachers), nilipomuuliza kuwa Kwa nini wanafanya hivyo alidai kuwa hiyo ni moja kati ya extra curricular activities yaani kufanya hiyo shughuli kunaweza kumuongezea mwalimu alama katika teaching practice hata wakapata GPA nzuri.

Mwalimu aliendelea kusema kuwa endapo waalimu wa field hawatashiriki kikamilifu katika suala zima la ulinzi wanaweza wakapata alama duni kwenye external assessment. Naombeni niwaulize Wana JamiiForums iwapo jambo hili la mwalimu wa field kuamka saa nane za usiku hadi saa kumi alfajiri Kwa kushurutishwani sawa au la ilhali Kuna walinzi wa shule wanaolipwa.

Pia habari za kuaminika zinasema baadhi ya walimu hao wanapiga pasi ndefu yaani wanapata msosi mara moja tu Kwa siku Kwa sababu shule iko mbali kidogo na mjini halafu shule haiwapikii chakula cha usiku 🤣🤣🤣😂.

Karibuni Kwa maoni.
Hao wana yao tu.
 
Kwamba A ya teaching practice wanatoa walimu wenyeji khaaaaaaa assessor anakuja kupoteza muda wake tu kwahiyo
Kuna assessment ya shule, tena Kwa kondoa girls waalimu wa field wanaasesiwa darasani na waalimu waalimu waajiriwa (waalimu wa departments) wiki moja kabla ya kumaliza TP. Yaani ile shule sijui ikoje unakuta akimaliza kumuasses mtu anaanza kumpa ushauri, eti "unapofundisha zingatia cognitive, psychomotor sijui affective...." halafu unakuta enzi zake alipata GPA ya kuning'nia. Nyambaf kweli kweli.
 
Huo upuuzi nisingefanya hata kidogo!

Unabembeleza GPA Ili upate Nini kwa hiyo GPA coz elimu ya Bongo imeshashuka kiwango na haiajiri tena!!
Siwezi linda usiku kucha Ili nipate A kwenye cheti wakati aliepata A na mwenye C wote wapo mtaani hawana ajira tena!
Kwa hio upoteze mda m8aka miratu halafu upate gpa mbaya. Fursa zingine zinahitaji gpa kubwa mfano kuwa lecture, kupata scholarship nk. Kwa nini upatw gpa mbaya wakati ni mwanafunzi na gpa ni jukumu lako ?.
Ukishapata gpa mbaya hairekebishiki.
Majuto si mjukuu
 
Back
Top Bottom