DOKEZO Kondoa Girls High School waalimu wa field wamegeuka walinzi wa shule, usiku kucha hawalali

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Shule kama shule wanashindwa vipi kuajiri mlinzi,kamati ya shule pia wameshindwa kushughulikia swala la mlizi kweli? Ikitokea la kutokea hapo asilaumiwe mtu.
 
Sasa hapo wanadhalilika au WANAJIDHALILISHA?! Mosi, Walimu wenyeji ndo wametoa hiyo order kwa Walimu wa Field; yaani Walimu kwa Walimu wanaoneshana masharubu! Pili, hivi msomi mzima unakubali vipi kufanya kazi iliyo nje ya taaluma?! Hapo bado zikitoka ajira, akina dada wengine wanaenda kutoa tunda halmashauri eti ili wasipelekwe vituo vya ndani ndani!
 
Pale kondoa girls Kuna waalimu wawili (makamua na na mwalimu mmoja wa nidhamu mwenye kitamba kama peter Msechu) wanamwendesha sana mkuu wa shule eti Kwa sababu ni mwanamke. Juzi mwalimu yule mweñye kitambi kama Cha Msechu alimkaripia mwalimu mmoja wa kike wa field mbele ya waalimu wengine na wanafunzi kisa hajamwamkia.
 
Nyinyi ndio mnaokubali upumbavu kama huo

Hakuna uhusiano wa GPA na kazi ya kulinda shule

Ni kutojitaambua tu
 
Nyinyi ndio mnaokubali upumbavu kama huo

Hakuna uhusiano wa GPA na kazi ya kulinda shule

Ni kutojitaambua tu
Duh! Madogo wa field wanateseka sana pale, mara wageuke walinzi mara wavune mbaazi, yote hayo ni Kwa sababu tu wanalala kwenye majengo ya shule.
 
JF asante,kazi hiyo nimewahi fanya 1995 ila athari zake kubwa ,niseme nisiseme?
 
Poleni sana. Wewe unavyo-comment inaonyesha wazi ni miongoni mwa hao wanafunzi wa ualimu. Itoshe kusema kwamba waalimu ni kama kondoo. Mna upole wa kishamba. Nadhani tusubiri comment ya Mpwayungu Village labda anaweza kuwa na maoni tofauti.
 
Sijui ni mimi mkorofi au vipi ila kamwe nisingefanya huo undava, acha nipate below to ila noma noma tu.

Uzi usindikizwe na track mbili, Below by Baraka Abayo ft Roma & Chege na Mara Hoo by Bou Nako ft JCB

Dj, plee dat tings
 
Nyinyi ndio mnaokubali upumbavu kama huo

Hakuna uhusiano wa GPA na kazi ya kulinda shule

Ni kutojitaambua tu
Unatoka nje ya point. Point ilikuwa GPA haina uhusiano na maisha ya mtaani. Sasa ulitakiwa ujikite hapo.
 
Kondoa girls naamini wanaolinda ni walimu wa kiume wa kike hapana Sasa hawapaswi kulaumu kabisa na huu ndio ushauri wangu wa mwisho
Km wanawapa na madenti wawagonge hapo haina shida Ila km ndio pangu pakavu huo ni unyonyaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…