Kondomu yavunja ndoa. Huu ni wivu au umakini katika ndoa???

Kondomu yavunja ndoa. Huu ni wivu au umakini katika ndoa???

Hakuna cha wivu hapo,ndo umakini wenyewe,wanaume acheni uzinzi nje ya ndoa zenu,kama huwezi usioe,mnakula viapo mbele ya Mungu then mnaendelea na uchafu wenu ndani ya ndoa......ila bora na huyo anajali,mingine inasahau hata kwamba inahatarisha maisha ya wake zao,inaweza waacha watoto yatima na kuwapa shida wale wote wanaomtegemea na kumtegemea huyo mama.......
The bad thing ni kuwa sasa hivi ni kitu cha kawaida.......halafu mbaya ni pale unapokutana na jianaume linalo-assume na wewe unacheat..:A S 20:

Kondom hunyesha kuwa unajali!!
 
Sie ofisini kwetu mara kwa mara wanagawa condom sasa wale wababa sjui nao wakienda nazo home wataachwa???!Au wanazitupa. haya mambo bwana ni magumu. Ila mimi kama mke ningekuja juu ila badae ningepata ahueni atleast anatumia condom
 
this is not fair, kwa nini wengi mmeegemea kwa mwanamke? what if mume akikuta condom kwenye pochi ya mkewe?
 
Kichwa cha habari hakiendani na mada.

:focus: Hivi unaweza kuvumilia kuona mwenzako anatoka nje ya ndoa na roho isikuume??
Lazima utakuwa punguani kwa kweli haaaaaaaaaaaa
Mume/mke anauma sana asikwambie mtu ukifikiria ile kitu anakupatia anampa mwingine?
Yaani kweli kuna watu Duniani usione vibaya mwenzio kutoka nje ya ndoa UNACHEZA WEWE
 
Huyo mwanamke anatakiwa kupimwa akili.... kukuta kondom kwenye suruali ya mumewe ni jambo moja na kutembea nje ya ndoa ni jambo jingine. ni mambo tofauti hayo....LABDA ALIWEKEWA MFUKONI. amtende haki mumewe banaaa..:angry:

Join DateThu Dec 2010
Posts 2
Thanks0
Thanked 0
Times in 0 Posts
Rep Power 0

Kijana hebu soma mazingira kwanza halafu urudi naona umekurupuka toka usingizini.
Post ya 2 unatoka hivi??
 
Hakuna cha wivu hapo,ndo umakini wenyewe,wanaume acheni uzinzi nje ya ndoa zenu,kama huwezi usioe,mnakula viapo mbele ya Mungu then mnaendelea na uchafu wenu ndani ya ndoa......ila bora na huyo anajali,mingine inasahau hata kwamba inahatarisha maisha ya wake zao,inaweza waacha watoto yatima na kuwapa shida wale wote wanaomtegemea na kumtegemea huyo mama.......
The bad thing ni kuwa sasa hivi ni kitu cha kawaida.......halafu mbaya ni pale unapokutana na jianaume linalo-assume na wewe unacheat..:A S 20:

michelle (obama)?

Mechi za ugenini lazima na ni muhimu sana kwa ajili ya "ndoa endelevu"!
 
Kichwa cha habari hakiendani na mada.

:focus: Hivi unaweza kuvumilia kuona mwenzako anatoka nje ya ndoa na roho isikuume??
Lazima utakuwa punguani kwa kweli haaaaaaaaaaaa
Mume/mke anauma sana asikwambie mtu ukifikiria ile kitu anakupatia anampa mwingine?
Yaani kweli kuna watu Duniani usione vibaya mwenzio kutoka nje ya ndoa UNACHEZA WEWE

Hapo bold it is loud and clear!!
 
hicho kisa kimenikumbusha zamani kidogo mimi nilienda kwa boyfriend wangu mkoani kwa siku kadhaa, siku mbili kabla ya kuondoka nikiwa nachukua nguo zangu chafu kwenye kapu nifue,enheee chini kabisa nikazikuta ndomu boksi zima la msd,mimi na yeye tulikuwa hatutumii kwa kuwa tulikuwa na utaratibu wa kupima mara 3 kila mwaka as tulikuwa tunaishi mbalimbali, nilipomuuliza akadai ofini kwao walitembelewa na waelimishaji wa ukimwi na kila mtu akapewa boksi zima!???mwisho siku nikamwambia mungu asante ni;ivyoondoka ndio ukawa mwisho wa habari....

Pengine ulimwonea tu maana ni kweli watu wa msd wakifanya semina hugawa box za kondomu kwa washiriki.
Kama ulikuta ziko pungufu ya mia moja then ruksa kuwa na mashaka.

Nadhani ndicho kinawagombanisha hao wanandoa: Kwamba mme kakutwa na kondomu 2, swali linakuwa ya 3 umeituimia wapi???
 
Acha hizo, hapo mwanamke analia na kuvunjika kwa uaminifu wa mume wake, na pia mwanaume akinogewa lazima hizo ndoms zitawekwa kando one day yes!
 
Mume kasema, eti baada ya kuona wamezaa watoto wawili bila kuweka intervals nzuri kwa maana ya kutofuata mpango mzuri wa uzazi, alikwenda kwa Daktari kuomba kondomu, ndipo alikuta zimekwisha ila kaambulia pisi 2 tu.

ahaaaaaa, kwi!kwi! huo utetezi noma, kwanini hakumshirikisha mke wake mapema kama ni kwa nja njema, ila namshauri mke wake amsamehe tu mwenzie.
 
Kuna familia moja hapa niishipo ndoa yao imevunjika baada ya mwanamke kukuta pieces 2 za kondomu ndani ya suruali ya mume wake. Hadi sasa ni mwezi mmoja umepita tokea kizungumkuti hicho kitokee. Juhudi za kusuluhisha tatizo hilo zinaendelea nami nikiwemo, lakini bado mke hajaridhia kurudi. Je, wanaJF huu ni wivu au ni umakini wa mwanamke ndani ya ndoa yake??? Nawasilisha!!! Karibu!!!

umakini.
unaonekana kumshangaa mke wake kwanini amenuna wakat jamaa alikuwa anjilinda...MKE WALIKUWA ANAMWAMINI SANA MUMEWE NA ILO JAMBOP LIMEMSHTUA NA KUMUUDHI KM SI KUMUUMIZA KIFIKRA...
 
Tatizo wabongo tunapenda kuchukua hatua hadi jambo litokee!!!Muda wote huo jamaa anachakachua nje mke hana habari leo waona ndomu wajifanya una mcimamo wakati tayari hata kama jamaa kashaupata nawe unao!!!Tujifunze kutafiti tuwe kama wapelelezi wanachunguza jambo kabla halijaharibika au kutokea tusiwe kama polisi wanokuja mbio wakati tukio tayari.Nawasilisha
 
Back
Top Bottom