Hakuna cha wivu hapo,ndo umakini wenyewe,wanaume acheni uzinzi nje ya ndoa zenu,kama huwezi usioe,mnakula viapo mbele ya Mungu then mnaendelea na uchafu wenu ndani ya ndoa......ila bora na huyo anajali,mingine inasahau hata kwamba inahatarisha maisha ya wake zao,inaweza waacha watoto yatima na kuwapa shida wale wote wanaomtegemea na kumtegemea huyo mama.......
The bad thing ni kuwa sasa hivi ni kitu cha kawaida.......halafu mbaya ni pale unapokutana na jianaume linalo-assume na wewe unacheat..:A S 20:
Huyo mwanamke anatakiwa kupimwa akili.... kukuta kondom kwenye suruali ya mumewe ni jambo moja na kutembea nje ya ndoa ni jambo jingine. ni mambo tofauti hayo....LABDA ALIWEKEWA MFUKONI. amtende haki mumewe banaaa..:angry:
Sidhani na sitoweza subiri kujua kwakuwa mimi ni MTAWA.:clap2::coffee:
Hakuna cha wivu hapo,ndo umakini wenyewe,wanaume acheni uzinzi nje ya ndoa zenu,kama huwezi usioe,mnakula viapo mbele ya Mungu then mnaendelea na uchafu wenu ndani ya ndoa......ila bora na huyo anajali,mingine inasahau hata kwamba inahatarisha maisha ya wake zao,inaweza waacha watoto yatima na kuwapa shida wale wote wanaomtegemea na kumtegemea huyo mama.......
The bad thing ni kuwa sasa hivi ni kitu cha kawaida.......halafu mbaya ni pale unapokutana na jianaume linalo-assume na wewe unacheat..:A S 20:
Kichwa cha habari hakiendani na mada.
:focus: Hivi unaweza kuvumilia kuona mwenzako anatoka nje ya ndoa na roho isikuume??
Lazima utakuwa punguani kwa kweli haaaaaaaaaaaa
Mume/mke anauma sana asikwambie mtu ukifikiria ile kitu anakupatia anampa mwingine?
Yaani kweli kuna watu Duniani usione vibaya mwenzio kutoka nje ya ndoa UNACHEZA WEWE
michelle (obama)?
Mechi za ugenini lazima na ni muhimu sana kwa ajili ya "ndoa endelevu"!
hicho kisa kimenikumbusha zamani kidogo mimi nilienda kwa boyfriend wangu mkoani kwa siku kadhaa, siku mbili kabla ya kuondoka nikiwa nachukua nguo zangu chafu kwenye kapu nifue,enheee chini kabisa nikazikuta ndomu boksi zima la msd,mimi na yeye tulikuwa hatutumii kwa kuwa tulikuwa na utaratibu wa kupima mara 3 kila mwaka as tulikuwa tunaishi mbalimbali, nilipomuuliza akadai ofini kwao walitembelewa na waelimishaji wa ukimwi na kila mtu akapewa boksi zima!???mwisho siku nikamwambia mungu asante ni;ivyoondoka ndio ukawa mwisho wa habari....
Mume kasema, eti baada ya kuona wamezaa watoto wawili bila kuweka intervals nzuri kwa maana ya kutofuata mpango mzuri wa uzazi, alikwenda kwa Daktari kuomba kondomu, ndipo alikuta zimekwisha ila kaambulia pisi 2 tu.
Kuna familia moja hapa niishipo ndoa yao imevunjika baada ya mwanamke kukuta pieces 2 za kondomu ndani ya suruali ya mume wake. Hadi sasa ni mwezi mmoja umepita tokea kizungumkuti hicho kitokee. Juhudi za kusuluhisha tatizo hilo zinaendelea nami nikiwemo, lakini bado mke hajaridhia kurudi. Je, wanaJF huu ni wivu au ni umakini wa mwanamke ndani ya ndoa yake??? Nawasilisha!!! Karibu!!!