Kondomu za kike zageuka urembo Kahama, Shinyanga!

Kondomu za kike zageuka urembo Kahama, Shinyanga!

hmm rababend jaman uliziangalia vby...wawazia kondom eeeh
 
hawa walielewa vyema jinsi ya kutumia.... Ila wakaelewa zaidi kuwa kama shuka unafua unampa mwenzio ajifunike, why not
condom? Loh!!!!!!!!!

Bowa wasukuma wamezitumia kwa njia mbadaba ya kuwaongezea kipato na kujiremba. Wamasai kuna kipindi walikuwa wanaazimana kifanyio (condom) yani BT leo unatumia halafu unakifua na kuniazima mimi then nakitumia, nakifua namwazima mwingie. Safi sana
 
Mbona mi sijaisikia wala kuiona hii jamani, ndyoko sijui kaitoa wapi? Au kazifananisha?
jana kuna mada ya kunyanyua matiti iliwekwa humu na mleta mada akatuwekea link tukajisomee zaidi, huko mimi ndo nikakutana na hii habari ya Kahama.

Lakini mimi nimeona kwa macho yangu DSsm wadada wakiuziana kondomu za lady pepeta si kwa ajili ya kuzitumia kama ilivyokusudiwa, hasha walikuwa wakizifanya kuwa bangili
 
jana kuna mada ya kunyanyua matiti iliwekwa humu na mleta mada akatuwekea link tukajisomee zaidi, huko mimi ndo nikakutana na hii habari ya Kahama.

Lakini mimi nimeona kwa macho yangu DSsm wadada wakiuziana kondomu za lady pepeta si kwa ajili ya kuzitumia kama ilivyokusudiwa, hasha walikuwa wakizifanya kuwa bangili

Dah.....mi nilikuwa sijainyaka hii aisee! Kweli watu wabunifu.....
 
Back
Top Bottom