Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Huko mtakuwa mnatumia mojamoja tu na kuifua ikisubiri matumizi siku nyingine.Hampo bize kabisa mkuu.๐๐๐๐Zimeadimika wapi? mbona hospital na vyuoni zimejaa tele unajichotea tu.
Ndiyo maana naona wengi wanawake wajawazito....Kuna makampuni yamekuja ya kutengeneza kondomu, tena kibiashara. Kwahiyo lazima za msaada wazifanyie figisu ili wao wauze.
I have a medicine shop and can not locate them for the would-be customers, and customers are lamenting of the scarcityZimeadimika wapi? mbona hospital na vyuoni zimejaa tele unajichotea tu.
๐๐๐๐๐๐Ndiyo maana naona wengi wanawake wajawazito....
Nawatakia Wajifungue Kwa salama
Mkuu umepata game ya gafla umekumbuka zana na kumbe zana zwnyewe hakuna ๐๐๐๐๐๐ wazalishaji walipunguza uzalishaji maana Covid 19 iliyumbisha sana sekta sababu wateja wengi waliangulia mbele za haki, kitu kilicho pelekea demand kuwa ndogo sanaa. Ila kwa sasa ivi mkuu ngoja kuchangamke walau demand ipande then supply yao iongezeke ila kwa sasa mnyang'anyane icho kidogo kilichopoNakumbuka hizi condom zilikuwa zimetapakaa kote katika sehemu za wazi kla mtu anachukua bure. Sasa hivi ni "almas" maana hazipatikani na zikipatikana ni bei kubwa -- a pack of 3 per 1,000
Kulikoni? Au kwa Msaada wa watu wa Marekani ilisitishwa? na kama ni hivyo kwanini walisitisha?
Elewa context ya thread yangu please! Seems hukaelewa nimeandika Nini....3 hazikutoshi?
Nikipata game siyo tatizo, ila siyo . Nina duka la dawa wateja wanakuja Sana kutafuta condom na Sina Wร nasema zimeadimika. Whole sale pharmacy hakuna.......Mkuu umepata game ya gafla umekumbuka zana na kumbe zana zwnyewe hakuna [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] wazalishaji walipunguza uzalishaji maana Covid 19 iliyumbisha sana sekta sababu wateja wengi waliangulia mbele za haki, kitu kilicho pelekea demand kuwa ndogo sanaa. Ila kwa sasa ivi mkuu ngoja kuchangamke walau demand ipande then supply yao iongezeke ila kwa sasa mnyang'anyane icho kidogo kilichopo
Nimekuelewa, hazijaadimika sema kumudu 1,000/= ndio changamotoElewa context ya thread yangu please! Seems hukaelewa nimeandika Nini....
Mkuu waambie vijanaa wamrejee muumba waoNikipata game siyo tatizo, ila siyo . Nina duka la dawa wateja wanakuja Sana kutafuta condom na Sina Wร nasema zimeadimika. Whole sale pharmacy hakuna.......
VitaNakumbuka hizi condom zilikuwa zimetapakaa kote katika sehemu za wazi kla mtu anachukua bure. Sasa hivi ni "almas" maana hazipatikani na zikipatikana ni bei kubwa -- a pack of 3 per 1,000
Kulikoni? Au kwa Msaada wa watu wa Marekani ilisitishwa? na kama ni hivyo kwanini walisitisha?
Ukraine na Urusi wamesababisha.Vita
Wateja wamekua wengi [emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka hizi condom zilikuwa zimetapakaa kote katika sehemu za wazi kla mtu anachukua bure. Sasa hivi ni "almas" maana hazipatikani na zikipatikana ni bei kubwa -- a pack of 3 per 1,000
Kulikoni? Au kwa Msaada wa watu wa Marekani ilisitishwa? na kama ni hivyo kwanini walisitisha?
najua una hasira na mama. Kunywa majiUkraine na Urusi wamesababisha.