Iringa, Tanzania
KONGAMANO KUBWA LA WEWE MWANA CHADEMA 10 /12/2022
Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa kupitia CHADEMA Peter Msigwa anawakaribisha Kongamano la wewe mwana CHADEMA fika Gangilonga mjini Iringa tarehe 10 December 2022.
Katika kongamano hilo makamanda Joseph Mbilinyi, John Heche, Susan Kiwanga, Ezekiel Wenje pia kwa njia ya mtandao makamu mwenyekiti CHADEMA bara Tundu Lissu na Godbless Lema watashiriki
KONGAMANO KUBWA LA WEWE MWANA CHADEMA 10 /12/2022
Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa kupitia CHADEMA Peter Msigwa anawakaribisha Kongamano la wewe mwana CHADEMA fika Gangilonga mjini Iringa tarehe 10 December 2022.
Katika kongamano hilo makamanda Joseph Mbilinyi, John Heche, Susan Kiwanga, Ezekiel Wenje pia kwa njia ya mtandao makamu mwenyekiti CHADEMA bara Tundu Lissu na Godbless Lema watashiriki