TGS D
Senior Member
- Aug 3, 2010
- 114
- 13
Kongamamo lililoandaliwa na CHASO lililofanyika jumamosi 22/01/2011 lilifana na hizi ni baadhi ya picha nilizofanikiwa kupiga.
Enjoy yourself.



Wadau wakiwa viwanja vya shule ya Msingi Makuburi kabla ya Kongamamo kuanza.

Ndg.Vincent Kimaro nakifungua kongamano

Peoplesssss powerrrr!!!!


Watu wakijumuika huku wameshikana mikono wakiimba Solidarity forever...solidarity forever


Mh.Zitto Kabwe jukwaani

Mh.Joseph Mbilinyi aka Sugu akisalimia wananchi jukwaani.

Mh.Sugu akianzisha Sala ya Taifa ambayo ni wimbo wa Taifa baada ya kuombwa na wananchi

Mh.Regia Mtema akisalimia wananchi




Mh.Mnyika akissitiza mada ya katiba jukwaani

Ndg.Renatus Mkinga nae alikuwepo





Start TV nao hawakubaki nyuma...

Sauti ya Simba au Simba mzee mh.Silinde kutoka Mbozi akisalimia wananchi

Mh.Marando akihutubia wananchi na kufafanua masuala kuhusu katiba

Ndg.Mkinga akisalimiana na wananchi
Enjoy yourself.



Wadau wakiwa viwanja vya shule ya Msingi Makuburi kabla ya Kongamamo kuanza.

Ndg.Vincent Kimaro nakifungua kongamano

Peoplesssss powerrrr!!!!


Watu wakijumuika huku wameshikana mikono wakiimba Solidarity forever...solidarity forever


Mh.Zitto Kabwe jukwaani

Mh.Joseph Mbilinyi aka Sugu akisalimia wananchi jukwaani.

Mh.Sugu akianzisha Sala ya Taifa ambayo ni wimbo wa Taifa baada ya kuombwa na wananchi

Mh.Regia Mtema akisalimia wananchi




Mh.Mnyika akissitiza mada ya katiba jukwaani

Ndg.Renatus Mkinga nae alikuwepo





Start TV nao hawakubaki nyuma...

Sauti ya Simba au Simba mzee mh.Silinde kutoka Mbozi akisalimia wananchi

Mh.Marando akihutubia wananchi na kufafanua masuala kuhusu katiba

Ndg.Mkinga akisalimiana na wananchi