Kongamano la Katiba Mpya - Nkurumah Hall Jan 15, 20011

Kongamano la Katiba Mpya - Nkurumah Hall Jan 15, 20011

Kipengele cha GPA kwenye degree ya kwanza ni muhimu kiwekwe kama moja ya sifa ya mgombea raisi. Kikwete ana GPA ya 1.9 no wonder anaipeleka anavyojua yeye. Kuepuka watu kama hawa GPA ni muhimu walau ianzie 3.0 kwa wagombea uraisi
Wee Rev Masanilo, naomba acha kumchafulia jina rais wetu kwa kumsingizia eti ana GPA ya 1.9!. Japo siijui GPA yake lakini siamini kama ki ukweli ni hii uliyoitaja hapa!. Naombeni tuache masikhara, huyu ni rais kipenzi chetu, tumemchagua sisi wenyewe kwa kura zetu milioni 4 kama ilivyo idadi ya wanachama wa chama chutu kitukufu cha Mapinduzi, moja ya majukumu yake ni kupindua kila kitu, hivyo lazima aheshimiwe.

Rev. Masa, nakuomba tell me hii GPA ya 1.9 was just a joke ili roho yangu itulie!.
 
Wee Rev Masanilo, naomba acha kumchafulia jina rais wetu kwa kumsingizia eti ana GPA ya 1.9!. Japo siijui GPA yake lakini siamini kama ki ukweli ni hii uliyoitaja hapa!. Naombeni tuache masikhara, huyu ni rais kipenzi chetu, tumemchagua sisi wenyewe kwa kura zetu milioni 4 kama ilivyo idadi ya wanachama wa chama chutu kitukufu cha Mapinduzi, moja ya majukumu yake ni kupindua kila kitu, hivyo lazima aheshimiwe.

Rev. Masa, nakuomba tell me hii GPA ya 1.9 was just a joke ili roho yangu itulie!.

Lakini wanaopata GPA 1.9 hawafai kuwa viongozi including kuwa Rais.

Kama GPA ni kipimo cha leadership, tuchague kiongozi mwenye first class degree, Masanilo for presidency!
 
Wee Rev Masanilo, naomba acha kumchafulia jina rais wetu kwa kumsingizia eti ana GPA ya 1.9!. Japo siijui GPA yake lakini siamini kama ki ukweli ni hii uliyoitaja hapa!. Naombeni tuache masikhara, huyu ni rais kipenzi chetu, tumemchagua sisi wenyewe kwa kura zetu milioni 4 kama ilivyo idadi ya wanachama wa chama chutu kitukufu cha Mapinduzi, moja ya majukumu yake ni kupindua kila kitu, hivyo lazima aheshimiwe.

Rev. Masa, nakuomba tell me hii GPA ya 1.9 was just a joke ili roho yangu itulie!.

Mkuu kama una muda wasiliana na Mwesiga Baregu anamjua sana Kikwete! Kifupi siasa zilitumika enzi zile akapata hiyo degree amini usiamini Kikwete ana Pass degree fatilia utajua

Heri ya Mwaka mpya!
 
Lakini wanaopata GPA 1.9 hawafai kuwa viongozi including kuwa Rais.

Kama GPA ni kipimo cha leadership, tuchague kiongozi mwenye first class degree, Masanilo for presidency!

Nina diploma ya teolojia! huku ni Pass na Fail hakuna GPA
 
Back
Top Bottom