kongamano la katiba UDSM Lahujumiwa

uDINI UPO KWA WANASIASA BUT SISI MTAANI TUNAKULA BATA TUU!

hahahahah!umenena ndugu,nyumba nayoish muislam peke yangu,bt ni ful shangwe,cjaona wakinikwaza,na hawajawai kunishu2mu kwa chochote
 

sijui tunaelekea wapi na udini huu! Badala ya kukemea maovu ya watawala eti tunatetea kisa dini moja. Eh Mungu tuepushe na balaa hili
 
Waislam hawana uongozi,kila msikiti na maamuzi yake!ni jamii isiyokua na muelekeo ktk tanzania.Rais atakayevunja bakwata na kuunda chombo chenye tija kwa waislam wote ndiye atakaye kuwa na manufaa kwa waislam
BAKWATA ni asasi ya kiislam ambayo si huru,haitetei waislam,kwani serikal huweka watu wake,wasiotakiwa na waislam,waislam weng hawaiamin+wala hawaipendi BAKWATA,kwa taarifa yako OFIS ZA BAKWATA kuna tawi la CCM,so hatotokea rais wa kuunda chombo kipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…