Stupit this udinism, yani kla mara wanafikiri watanzania ni wapumbavu kiasi cha kuamini fulani anahujimiwa kisa ni wa dini fulani. Huu ni ujinga ambao watanzania lazima tuuepuku.
mbona kipindi cha mkapa mambo mengi ya kutisha yalikuwepo kama kuzama kwa MV Bukoba. Nahakika nao wangesema wamehujumiwa. wakati mambo mengine ni uongozi mbovu.
Enyi waislam wenzangu msikubali kununulika na kuanza propoganda chafu na mkashindwa kumkosoa mtu eti kisa ni dini yako. Kwenye serikali hatuangalii dini tunaangalia mtu safi asifiwe na mchafu akemewe.
Wakristo kwa waislam. Kemeeni uovu mkiuona hata kama mtu ni wa dini yako, na msifieni mtu pale anapostahili sio kutumiwa na wanasiasa kuleta pumba huku familia zenu zikibaki masikini.