Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari kufanyika tarehe 18-19 Juni, 2024. Rais Samia kuwa Mgeni Rasmi

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Wanahabari tuna jambo letu

=====

Wanahabari tuna jambo letu
Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari.
πŸ—“οΈ 18-19 Juni, 2024.
Kikao Kazi cha Maafisa Habari wa Serikali.
πŸ—“οΈ 20-22 Juni, 2024.

Mgeni rasmi: Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waalikwa tukutane Dar es Salaam.

 
Ni jambo la maafisa habari wa serikali. Watalipwa 100,000 mara siku Kisha watarejeshewa nauli na per diem watakaosafiri zaidi ya masaa 6. Atakaekamba mtonyo mdogo ni laki 7!!

Nyie waandishi wa habari makanjanja haiwahusu.
 
Bado Siku 7
 

Attachments

  • 20240611_145140.jpg
    139.9 KB · Views: 3
Wanahabari tuna jambo letu

=====

Wanahabari tuna jambo letu
Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari.
πŸ—“οΈ 18-19 Juni, 2024.
Kikao Kazi cha Maafisa Habari wa Serikali.
πŸ—“οΈ 20-22 Juni, 2024.

Mgeni rasmi: Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waalikwa tukutane Dar es Salaam.

 
Wanahabari tuna jambo letu
 

Attachments

  • FB_IMG_1718264084710.jpg
    110.2 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…