Kongo DRC wauze Goma kwa TANZANIA, Kisha sisi TANZANIA tushughulike na hao M23, is very simple

Kongo DRC wauze Goma kwa TANZANIA, Kisha sisi TANZANIA tushughulike na hao M23, is very simple

Mtoa mada umeshiba viazi vitamu na magimbi apo kwa shemeji yako.
Baada ya kushiba umeamua kuleta uzi uku.
 
Yani sie tupigwe na vibaraka wa rwanda.,, we kweli kichaa,, hiyo rwanda yenyewe inaowatuma hao M23 hawana ubavu wa kupambana na wamba watano tu wa pale ngerengere
Msichojua tu, huyo PK 2015 kachezea Sana na tukamrudisha Nkurunzinza. Au mnadhani aliibukia kule kutoka hewani? Na tulimuonya tukiwa kwake. Vijana walitwanga wale waliopindua mpaka ndani kwa PK
 
Kuliko hata Saudi Arabia?
Jeshi la Saudia lina nguvu pia ila halifikii la Misri broo.

Ukiangalia nguvu ya jeshi la anga tu kwa mfano, Misri inazo F-16 zaidi ya 200, (Saudi Arabia na South Africa hawana hizo). Na jumla ya ndege za kivita zinazomilikiwa na Misri ni zaidi ya 500.


The Egyptian Air Force (EAF) has around 579 combat aircraft, including F-16s, Mirage 2000s, and Rafale fighters.

The EAF is the aviation branch of the Egyptian Armed Forces.

AIRCRAFT IN the EGYPTIAN AIR FORCE
F-16 Fighting Falcon: The backbone of the EAF, with 216 F-16s and 20 on order.

Mirage 2000: A modern interceptor used by the EAF.

Dassault Rafale: A French twin-engine fighter aircraft.

MiG-21: An extensively upgraded aircraft used by the EAF.

F-7 Skybolts: An aircraft used by the EAF.

F-4 Phantoms: An aircraft used by the EAF.

Dassault Mirage Vs: An aircraft used by the EAF.

C-130 Hercules: An aircraft used by the EAF.

The EAF also has two helicopter carriers and 92 attack helicopters.

Other aircraft used by the Egyptian Air Force: Dassault-Dornier Alpha Jet and Dassault Falcon 20.
 
Amani iwe kwenu

Nimewaza mbali sana

Lakini kuwaza kwangu kote huwa sipend kabisa kuona mtu akiteseka bila sababu

Mateso ya watu wa Kongo wananiumiza sana

Sasa nimekuja na suluhisho moja tu na suluhisho hilo moja tu linaenda kutamatisha hii vita ndan ya dakika mbili tu

Watu wa kongo na goma wakubali kuwa watanzania na Kisha goma iuuzwe kwa TANZANIA Kisha Tanzania imalize show mara moja kibabe sana

Kisha JW iingie mzigon kupambana na hawa wahuni

Very simple

LONDON BOY
Ni kweli sisi tulio mpakani mwa Tz JWTZ wako vizuri yaani hao jamaa ni shida
 
Amani iwe kwenu

Nimewaza mbali sana

Lakini kuwaza kwangu kote huwa sipend kabisa kuona mtu akiteseka bila sababu

Mateso ya watu wa Kongo wananiumiza sana

Sasa nimekuja na suluhisho moja tu na suluhisho hilo moja tu linaenda kutamatisha hii vita ndan ya dakika mbili tu

Watu wa kongo na goma wakubali kuwa watanzania na Kisha goma iuuzwe kwa TANZANIA Kisha Tanzania imalize show mara moja kibabe sana

Kisha JW iingie mzigon kupambana na hawa wahuni

Very simple

LONDON BOY
Wazo lako siyo la ki PanAfricanist..limekosa sentiment ya kimajumui..
Naheshimu wazo lako lakini Kuna hatari sana kwa utekelezaji wa hilo jambo lako:
Kwanza itasababisha nchi zenye nguvu kijeshi kuhalalisha ukwapuaji wa maeneo kwa kuhadaa watu wachache hata kama wengi wao watakuwa na msimamo tofauti nao..tumeyaona yaliyotokea Urusi na Ukraine tangu 2014, 2022 hadi sasa...
Hapa Afrika Kuna nchi kama Al Masri, Algeria, kwasababu ya nguvu zao kijeshi,nchi zenye migogoro mfano wa kongo zinaweza kuwa Victims wa kukwapuliwa..
Pia tukumbuke misingi ya waasisi wetu juu ya creation of the United states of Afrika under one President,we should fight to make that aim achievable. Tusianze kununuana na kuleta taharuki kwenye jumuiya yetu ya Afrika Mashariki,ndugu yako akipata matatizo msaidie,usianze kununua vitu vyake,hiyo ni laana.
 
Hivi ukisikia DRC wako wote wakubwa wanachota madini huamini? Hivi wanabongo mnaweza kupambana na France, UK, US, German, Russia, China, na wengine wakubwa?
Nb.
Jeshi la Kongo sio dhaifu kama ifikiriwavyo but support ya mabwana wakubwa hasa silaha nzito ni kikwazo kikubwa. Kuna kipindi BBC walimnukuu kamanda mmoja alisema M 23 Ina sila nzito kuliko jeshi la taifa Hilo!
Wabongo kaeni Kwa kutulia vita sio gwaride la kuonesha tofali zikivunjwa. Vitani Kuna sadaka kubwa yA damu. Mtapoteza vijana bila faida yotote ya maana!
Hivi yule Ibrahim Traole kawezaje?
Mpk E . Macron haamini anachokiona
 
Wazo lako siyo la ki PanAfricanist..limekosa sentiment ya kimajumui..
Naheshimu wazo lako lakini Kuna hatari sana kwa utekelezaji wa hilo jambo lako:
Kwanza itasababisha nchi zenye nguvu kijeshi kuhalalisha ukwapuaji wa maeneo kwa kuhadaa watu wachache hata kama wengi wao watakuwa na msimamo tofauti nao..tumeyaona yaliyotokea Urusi na Ukraine tangu 2014, 2022 hadi sasa...
Hapa Afrika Kuna nchi kama Al Masri, Algeria, kwasababu ya nguvu zao kijeshi,nchi zenye migogoro mfano wa kongo zinaweza kuwa Victims wa kukwapuliwa..
Pia tukumbuke misingi ya waasisi wetu juu ya creation of the United states of Afrika under one President,we should fight to make that aim achievable. Tusianze kununuana na kuleta taharuki kwenye jumuiya yetu ya Afrika Mashariki,ndugu yako akipata matatizo msaidie,usianze kununua vitu vyake,hiyo ni laana.
Hapana kaka hapana lazima tukatoe kichapo cha kizalendo

Hayo sisi hayatuhusu
 
Back
Top Bottom