nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
We ni mnyarwanda unajulikanaUnaumwa wewe
Pelekeni pua huko ndo mtawaleta kwenye ma box
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni mnyarwanda unajulikanaUnaumwa wewe
Pelekeni pua huko ndo mtawaleta kwenye ma box
Saudi Arabia haipo bara la AfricaKuliko hata Saudi Arabia?
Msichojua tu, huyo PK 2015 kachezea Sana na tukamrudisha Nkurunzinza. Au mnadhani aliibukia kule kutoka hewani? Na tulimuonya tukiwa kwake. Vijana walitwanga wale waliopindua mpaka ndani kwa PKYani sie tupigwe na vibaraka wa rwanda.,, we kweli kichaa,, hiyo rwanda yenyewe inaowatuma hao M23 hawana ubavu wa kupambana na wamba watano tu wa pale ngerengere
Ukubwa wa pua sio uwingi wa kamasiNchi kubwa ya Congo na jeshi lake kubwa, washindwe kuwachakaza hao jamaa?
Jeshi la Saudia lina nguvu pia ila halifikii la Misri broo.Kuliko hata Saudi Arabia?
Ni kweli sisi tulio mpakani mwa Tz JWTZ wako vizuri yaani hao jamaa ni shidaAmani iwe kwenu
Nimewaza mbali sana
Lakini kuwaza kwangu kote huwa sipend kabisa kuona mtu akiteseka bila sababu
Mateso ya watu wa Kongo wananiumiza sana
Sasa nimekuja na suluhisho moja tu na suluhisho hilo moja tu linaenda kutamatisha hii vita ndan ya dakika mbili tu
Watu wa kongo na goma wakubali kuwa watanzania na Kisha goma iuuzwe kwa TANZANIA Kisha Tanzania imalize show mara moja kibabe sana
Kisha JW iingie mzigon kupambana na hawa wahuni
Very simple
LONDON BOY
Hujui chochoteHiyo jwtz mnaioverrate sana.
Hata wewe hujui chochoteP
Hujui chochote
Wazo lako siyo la ki PanAfricanist..limekosa sentiment ya kimajumui..Amani iwe kwenu
Nimewaza mbali sana
Lakini kuwaza kwangu kote huwa sipend kabisa kuona mtu akiteseka bila sababu
Mateso ya watu wa Kongo wananiumiza sana
Sasa nimekuja na suluhisho moja tu na suluhisho hilo moja tu linaenda kutamatisha hii vita ndan ya dakika mbili tu
Watu wa kongo na goma wakubali kuwa watanzania na Kisha goma iuuzwe kwa TANZANIA Kisha Tanzania imalize show mara moja kibabe sana
Kisha JW iingie mzigon kupambana na hawa wahuni
Very simple
LONDON BOY
Hivi yule Ibrahim Traole kawezaje?Hivi ukisikia DRC wako wote wakubwa wanachota madini huamini? Hivi wanabongo mnaweza kupambana na France, UK, US, German, Russia, China, na wengine wakubwa?
Nb.
Jeshi la Kongo sio dhaifu kama ifikiriwavyo but support ya mabwana wakubwa hasa silaha nzito ni kikwazo kikubwa. Kuna kipindi BBC walimnukuu kamanda mmoja alisema M 23 Ina sila nzito kuliko jeshi la taifa Hilo!
Wabongo kaeni Kwa kutulia vita sio gwaride la kuonesha tofali zikivunjwa. Vitani Kuna sadaka kubwa yA damu. Mtapoteza vijana bila faida yotote ya maana!
Hapana kaka hapana lazima tukatoe kichapo cha kizalendoWazo lako siyo la ki PanAfricanist..limekosa sentiment ya kimajumui..
Naheshimu wazo lako lakini Kuna hatari sana kwa utekelezaji wa hilo jambo lako:
Kwanza itasababisha nchi zenye nguvu kijeshi kuhalalisha ukwapuaji wa maeneo kwa kuhadaa watu wachache hata kama wengi wao watakuwa na msimamo tofauti nao..tumeyaona yaliyotokea Urusi na Ukraine tangu 2014, 2022 hadi sasa...
Hapa Afrika Kuna nchi kama Al Masri, Algeria, kwasababu ya nguvu zao kijeshi,nchi zenye migogoro mfano wa kongo zinaweza kuwa Victims wa kukwapuliwa..
Pia tukumbuke misingi ya waasisi wetu juu ya creation of the United states of Afrika under one President,we should fight to make that aim achievable. Tusianze kununuana na kuleta taharuki kwenye jumuiya yetu ya Afrika Mashariki,ndugu yako akipata matatizo msaidie,usianze kununua vitu vyake,hiyo ni laana.