Kongole kwako Profesa Jay kuwa mtangazaji wa redio Clouds

Tena mbunge wa binadamu na wanyama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni kweli hakuna kitu cha ajabu apo zote ni kazi za kuwatumikia wananchi
 
Kwanza siamini kama ni kweli

Na kama ni kweli basi mzee baba atakua kaishiwa mbinu kiasi cha kwenda kuajiriwa clouds kwa level ya mtangazaji

Kwa jinsi Prof alivyojijenga sio tena mtu wa kuajiriwa kwenye viposition vidogo dogo kama baba levo

Kwa level alizofikia anatakiwa kuwa boss wa issue zake na kama ni kuajiriwa basi iwe kwenye position za maana haswa

Lakini kama kaishiwa mbinu basi hakuna namna ajibanze tu hapo mjengoni clouds
 
Vp keshafukuzwa hapo clouds?maana simsikii tena
 
kwnn humshangai millard ayo kung'ang'ania clouds pia badala ya kufungua tv au redio yake.
 
kwnn humshangai millard ayo kung'ang'ania clouds pia badala ya kufungua tv au redio yake.
Nadhani sio sahihi sana kulinganisha hawa watu, kuna utofauti

Hata hivyo Ayo amejikita zaidi kwenye Online media ambayo pia CMG wana ubia
Ayo ni zaidi ya muajiriwa pale CMG, ameajiriwa na ni mmbia na CMG kwenye online media zake

Prof kama angekua kaajiriwa pale ingekuwa kama akina Jose Mara, Baba Lovo, Fidah Amani nk ambao wao ni watangazaji tu

Ila huu ni uzushi tu Prof haja ajiriwa pale
 
Wale ndugu zangu walio kunywa maji ya bendera ya vyama vyao vya siasa "......clouds CCM........ mimi si sikilizi Clouds sababu ni CCM......",haya sasa Prof J huyo mjengoni,sijui mtampokonya uwanachama.
Vipi bado anaendelea kusikika hapo ccm radio!?
 
Hii Kwake sio kama ajira,inawezekana anatumika kwa umaharufu wake,ni mwanamuziki,aliwahi kuwa Mbunge,kwahiyo ana wafuasi wengi kwenye jamii,
Why not use tallent and popuralism to make extra monies!!!?
 
Wewe ndiye uliyesapoti kuwa jamaa anafanya utangazaji hapo redioni na ukawananga wale wanaosema hawasikilizi clouds redio ya ccm. Umesahau au umejisahaulisha!?
Sijasahau hoja yangu nimeijenga kutokana na maada ilivyo andikwa, so unaweza ukaMP aliye andika hii thread akakupa majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…