joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Practical kabisa kuna project nyingi wanafanya mwaka wa mwisho,ila zina ishiaga vyuoni.ubunifu wa theory ama upi unaozungumzia jamaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Practical kabisa kuna project nyingi wanafanya mwaka wa mwisho,ila zina ishiaga vyuoni.ubunifu wa theory ama upi unaozungumzia jamaa?
sasa unachobisha nini? mimi nakwambia jamaa hajasoma na kaonyesha njia sasa unashupaa sijui unataka kutuaminisha nini hapa, kiufupi hata sisi tumesoma tukaona hakuna manufaa kulamba lamba watu miguu tuaamua kusepa nchi , hakuna wasomi huko ni crap tu, hayo ma theory yalishawahi kufanya maajabu ganiPractical kabisa kuna project nyingi wanafanya mwaka wa mwisho,ila zina ishiaga vyuoni.
Jamaa hajasoma ila kaonyesha njia ......? kwani ka design yy au kaimplement yy?sasa unachobisha nini? mimi nakwambia jamaa hajasoma na kaonyesha njia sasa unashupaa sijui unataka kutuaminisha nini hapa, kiufupi hata sisi tumesoma tukaona hakuna manufaa kulamba lamba watu miguu tuaamua kusepa nchi , hakuna wasomi huko ni crap tu, hayo ma theory yalishawahi kufanya maajabu gani
Ni vyema sasa Taifa likamtumia masudi kipanya kuiweka technology yaje wazi na kuzalisha vijana zaidi kutengeneza na kubuni matumizi zaidi ya Nishati kama gas na kwakuwa gas tunayo itakuwa vzr zaidiTanzania ya viwanda inawezekana kupitia ubunifu wa watanzania wenyewe na si vinginevyo
Siamini mpaka nijionee mwenyewe, wasomi wa Tanzania ni sawa tu na wasanii wa bongo movie (fake).Wanafanya sema nini mkuu hawapewi nafasi. Wameshafanya research nyingi sana zinaishia kutunzwa kabatini. Siasa ndio zinaharibu kupewa nafasi zaidi huku utaalam ukitupwa pembeni.