Najivunia sana kijana Petro Magoti aliyeteuliwa siku za karibuni kuwa mkuu wa wilaya ya Kisarawe.
Natamani wakuu wote wa wilaya wangeiga namna na jinsi anavyotenda na kuwajibika katika nafasi yake.
Kwanza anasimamia usalama wa watu wake, pili anafatilia miradi katika wilaya yake (anaingia field mwenyewe) tatu anasimamia nidhamu na malezi ya jamii, anatangaza vivutio vya utalii vilivyopo wilayani kwake.
Amenifurahisha zaidi alipoamua kwenda kuwatembelea wajasiriamali wa Kisarawe katika maonyesho ya sababa na kutangaza bidhaa zao yeye mwenyewe na kuwaahid kuwapa support Ili wafike mbali.
Kubwa zaidi ameonyesha njia kwa kuchangia mifuko ya saruji pale msikitini Ili mabweni yajengwe watoto wafundishwe Huku wakipata makazi standard yenye usalama wa hali ya juu.
DCs wote wa Tanzania mna la kujifunza kwa huyu bwana
Natamani wakuu wote wa wilaya wangeiga namna na jinsi anavyotenda na kuwajibika katika nafasi yake.
Kwanza anasimamia usalama wa watu wake, pili anafatilia miradi katika wilaya yake (anaingia field mwenyewe) tatu anasimamia nidhamu na malezi ya jamii, anatangaza vivutio vya utalii vilivyopo wilayani kwake.
Amenifurahisha zaidi alipoamua kwenda kuwatembelea wajasiriamali wa Kisarawe katika maonyesho ya sababa na kutangaza bidhaa zao yeye mwenyewe na kuwaahid kuwapa support Ili wafike mbali.
Kubwa zaidi ameonyesha njia kwa kuchangia mifuko ya saruji pale msikitini Ili mabweni yajengwe watoto wafundishwe Huku wakipata makazi standard yenye usalama wa hali ya juu.
DCs wote wa Tanzania mna la kujifunza kwa huyu bwana