Apunguze uzitoThis young man is a good artist sijui kwanini hakubaliki sana kwenye contemporary bongo music. Nimeusikiliza wimbo wake 'umetuacha imara' kama tribute to the late JPM nikagundua he's a smart singer kuliko hata wimbo wa akina mond na wenzake pia ngoma zake nyingi ziko bomba and he has the vocals.
Disclaimer: picha sio yangu View attachment 1731028
Kwenye mziki wa kisasa, kipaji pekee ama vocals sio kitu tosha kitakachompa msanii mafanikio.This young man is a good artist sijui kwanini hakubaliki sana kwenye contemporary bongo music. Nimeusikiliza wimbo wake 'umetuacha imara' kama tribute to the late JPM nikagundua he's a smart singer kuliko hata wimbo wa akina mond na wenzake pia ngoma zake nyingi ziko bomba and he has the vocals.
Disclaimer: picha sio yangu View attachment 1731028
Sawa, itakuwa tu mpangilio wangu lakini nalenga kusema kama individual artist he's underrated. Hao kina mond mbona hawana viwango japo vya kuwafikia artists wengi tu humu nchini,good management inamsaidiaAlafu uwezi fananisha nyimbo ya wasanii wote na msanii mmoja, unapokuja kuangalia wimbo wa msanii mmoja linganisha na msanii mmoja kama Vanny, Jux maana uwo wa wote hata uyo msechu alikuwepo.
Usanii bora hauwendi kwa wimbo mmoja wapo wasanii waliodanya vizuri kwenye nyimbo moja Sam Waukweli Sina Raha, Mo Music Basi nenda...usanii bora ni all time kama Mond
Tatizo la Msechu ni Msechu mwenyewe watu wanamkubali ila yeye hana time naoThis young man is a good artist sijui kwanini hakubaliki sana kwenye contemporary bongo music. Nimeusikiliza wimbo wake 'umetuacha imara' kama tribute to the late JPM nikagundua he's a smart singer kuliko hata wimbo wa akina mond na wenzake pia ngoma zake nyingi ziko bomba and he has the vocals.
Disclaimer: picha sio yangu View attachment 1731028
Ni sahihi nakubaliana nawe huyu chibonge anakosa consistency of which nawaza kwamba possible hana good managementKwenye mziki wa kisasa, kipaji pekee ama vocals sio kitu tosha kitakachompa msanii mafanikio.
Nikupe mfano tu, Peter Msechu unamsikia kwenye matukio kama haya ya msiba, lakini rotation ya nyimbo zinazopigwa kila siku kwenye chat yupo?
Hana consistency kwenye game hawezi kupewa front row seats kama Diamond au mwingine...
Mkuu hii picha uliyoweka ni ya zamani sana picha yake ya jana akiwa msibani hii hapa..This young man is a good artist sijui kwanini hakubaliki sana kwenye contemporary bongo music. Nimeusikiliza wimbo wake 'umetuacha imara' kama tribute to the late JPM nikagundua he's a smart singer kuliko hata wimbo wa akina mond na wenzake pia ngoma zake nyingi ziko bomba and he has the vocals.
Disclaimer: picha sio yangu View attachment 1731028