Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh pole Mkuu..jaribu kuanza tenaHuwezi amini sijakuelewa
Hakika,ataelewa tuu..may be stressAisee
Labda hujaamua kuelewa
Kwa niabaSawa Peter msechu
Kwa niaba...tumpongeze akiwa hai.Hongera zake.
Hahahhahaha hapo mwisho umefurahisha kweliPeter msechu lazima atunge wimbo mzuri wa hisia, ukizingatia kitambi kimemtoka wakati wa marehemu.
Peter mwenyewe huyu. Achana nae..Huwezi amini sijakuelewa
We kwako wapayukaji ndo wanaimba....Kwa niaba...tumpongeze akiwa hai.
Kwenye msiba wako nikiwa kama mgeni rasmi...tatizo nahisi hujaelewa msingi wa bandiko hiliSwali Ni kuwa hao unaosema wameimba utopolo hizo nyimbo wamemuimbia Nani? Ni za msiba wa ANKO tu au na wewe unataka kwnye msiba wako zije zipigwe?
Nyimbo za 2000 uje ufananishe na za 2020? Walichoimba wao na alichokiimba msechu utofauti wake Ni upi?
Ok bossKasikilize wimbo wa kala
Hahahha acha hizo Chief...ok nitautafutaWe kwako wapayukaji ndo wanaimba....
Tafuta wimbo wa JKT RUVU BAND.......
kasikie wajeda walivyotulia mule.
Ikiwekwa hapa uzi huu utajaa mapema...maana itachukua nafasi kubwa sana,.Weka picha yake uzi unoge
Mxakdafvel wpacha utani[emoji1787]Peter msechu lazima atunge wimbo mzuri wa hisia, ukizingatia kitambi kimemtoka wakati wa marehemu.