Wewe ndio natakiwa nikupe pole...hoja hujibiwa kwa hoja..ugoro hujibiwa kwa ugoroPole ndugu yangu. Kugundua kuwa una akili ndogo ni mwanzo wa kuanza kupata solution. Jaribu kuwa unajisomea somea usikate tamaa pia. Pole sana.
Mbona kamanda hapo juu amejibu kwa hoja nikamuelewa.
Alafu suala la kujisomea somea unatakiwa uanze wewe...mimi nimeshakuwa mkongwe huko, na nimefahamu mengi + inteligence usiyo iweza au kuifahamu..sijisifii ila nimeamua kukupa mwanga ili kama unataka kuendeleza mtanange huu,huko mbeleni ujue unabatle na mtu wa aina ipi.
Shukrani