Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Daahh, saa itakuwaje...Ikiwekwa hapa uzi huu utajaa mapema...maana itachukua nafasi kubwa sana,.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daahh, saa itakuwaje...Ikiwekwa hapa uzi huu utajaa mapema...maana itachukua nafasi kubwa sana,.
OkWeka picha yake uzi unoge
Daa jamani haaa haaa unataka watu tucheke sasaPeter msechu lazima atunge wimbo mzuri wa hisia, ukizingatia kitambi kimemtoka wakati wa marehemu.
Hahaha sawa boss..muda wangu utafika tuu nitakuwa public na mtanifamu woteSubil usifiwe ww msechu na tumbo lako hilo
Hahaha..hakikaWatu wamemaind kuona anasifiwa Msechu huku mastaa wao wamepotezewa kwa kupuyanga!!.
Peter Msechu anacopy nyimbo tu ,hata huo wimbo unaopewa promo amecopy melody ya mdada mmoja hivi unaimbwa "ehe khuma khuma khumamaeee"Wakuu Habarini
Katika pitapita zangu nimekutana na moja ya comment zikimpa kongole Peter Msechu kwa nyimbo zake katika kipindi hiki cha msiba wa Taifa,nami nimeamua kuleta hapa kama maoni ya mdau.
Inasema hivi.....Wasanii wa Tanzania nimegundua kumbe hamna uwezo kabisa, yani mmeshindwa kutunga nyimbo nzuri zenye hisia kuhusiana na msiba wa JPM?
Angalao Peter Msechu kidogo ila wengine kelele tu na kuvaa mavazi meusi, mnachoweza kuimba ni kusifia tu ngono... Kumbukeni enzi zile za Hayati J.K. Nyerere bado teknolojia ilikuwa chini sana lakini wasanii wa kipindi kile kama Hayati Capt. John Komba aliimba nyimbo zinazoishi hadi kesho pamoja na kwamba alikuwa na umri mkubwa lakini kipaji kilionekana kwake.
Ila ninyi na teknolojia iliyo juu bado mnapiga makelele studio, mmelemazwa na mashairi ya mapenzi... Kongole kwako #Peter Msechu pamoja na kwamba una unene wa hali ya juu yani wa kiwango cha lami ila inadhihirisha hata akili yako ni nene (kubwa)[emoji120][emoji120][emoji120][emoji7][emoji1241]
Hakika Mkuu,wengine wanadhani kumsifia mtu ni kuweka chuki..ni kuhamasisha wengine kujitahidi zaidiyes ile nyimbo ya msechu naikubali..!! ila hawa wengine sikujua wanaimba ishu gani..!! ila ya msechu ni iko vizur aiseeh kajitahidi sana
HahahhaIkiwekwa hapa uzi huu utajaa mapema...maana itachukua nafasi kubwa sana,.
SawaNaona unatumiwa sana ...yawezekana umegusa hisia
Matatizo la kuwa na akili ndogo ndo haya...kapumzikeWe ndo huyo peter mchechu mwenyewe? Unahusika na nini? Unatakiwa uwe mvumilivu ili uje usifiwe.unataka teuzi?sasa kila mtu akilia sana kwenye msiba akipewa cheo si itafikia hatua itakuwa changamoto we mchechu?
Aakh kumbee...nitafuatiliaPeter Msechu anacopy nyimbo tu ,hata huo wimbo unaopewa promo amecopy melody ya mdada mmoja hivi unaimbwa "ehe khuma khuma khumamaeee"
We huna uwezo wa kuelewa kwahiyo tulia tu mkuuHuwezi amini sijakuelewa
Aakh kumbee...nitafuatilia
Pole ndugu yangu. Kugundua kuwa una akili ndogo ni mwanzo wa kuanza kupata solution. Jaribu kuwa unajisomea somea usikate tamaa pia. Pole sana.Matatizo la kuwa na akili ndogo ndo haya...kapumzike
Sijui yaani...dah!!Daahh, saa itakuwaje...
Huwa napenda wakiwa wanapiga LiveWe kwako wapayukaji ndo wanaimba....
Tafuta wimbo wa JKT RUVU BAND.......
kasikie wajeda walivyotulia mule.
Sawa sawa ChiefYaani ukiusikiliza amebadili maneno tu ila melody ni mule mule ,nilijaribu kuu_shazam ukagoma kuleta details ila ni maarufu wadau watakuwa wanaujua.