Kongole TFF: Uchungu wa mwana aujuae mzazi

Kongole TFF: Uchungu wa mwana aujuae mzazi

Chendembe

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
444
Reaction score
488
TFF nawapongeza kwa kuamua kutumia wazawa kukinoa kikosi chetu Cha timu ya Taifa. Mtu chake. Mtoto wako ni wako hata akiwa na sura mbaya.

Ninaimani na walioteuliwa. Tuwaunge mkono kwa hali yoyote ile, watatuvusha.

"MECKY TAFADHALI MRUDISHE YONDANI NA NYONI KIKOSINI utakujanishukuru."
 
Back
Top Bottom