demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Habari njema kwa familia ya Yanga SC na mashabiki wake wote. Napenda kuwapongeza kwa juhudi yenu kubwa na mafanikio mkubwa mlipata katika mashindano ya CAF Confederation Cup, Ligi Kuu na Azam Sports Federation Cup. Ni wazi kuwa mlichapa kazi kwa bidii na kujitolea sana ili kufikia mafanikio haya.
Katika msimu mmoja tu wa soka mmeweza kutwaa LigiKUU
Kombe la ASFC na kutinga fainali ya
Kombe la Shirikisho Africa.
Hakuna klabu kutoka afrika mashariki imefanikiwa kufikia hatua hizi.
Mashindano haya yalikuwa na ushindani mkubwa kutoka kwa timu nyingine, lakini Yanga SC mliweza kushinda michezo yenu kwa uadilifu, nidhamu na kujituma mnapocheza uwanjani.
Mafanikio haya ni uthibitisho wa uwezo wenu mkubwa na uwezo wa kocha, wachezaji, uongozi na mashabiki kufanya kazi kwa pamoja.
Napenda kuwahakikishia kuwa mafanikio haya ni kichocheo kwa Yanga SC kuendelea kufanya vizuri zaidi katika mashindano yajayo.
Tunawatakia kila la heri katika michuano inayofuata na tutawaunga mkono daima. Hongera tena kwa mafanikio yenu makubwa.
Katika msimu mmoja tu wa soka mmeweza kutwaa LigiKUU
Kombe la ASFC na kutinga fainali ya
Kombe la Shirikisho Africa.
Hakuna klabu kutoka afrika mashariki imefanikiwa kufikia hatua hizi.
Mashindano haya yalikuwa na ushindani mkubwa kutoka kwa timu nyingine, lakini Yanga SC mliweza kushinda michezo yenu kwa uadilifu, nidhamu na kujituma mnapocheza uwanjani.
Mafanikio haya ni uthibitisho wa uwezo wenu mkubwa na uwezo wa kocha, wachezaji, uongozi na mashabiki kufanya kazi kwa pamoja.
Napenda kuwahakikishia kuwa mafanikio haya ni kichocheo kwa Yanga SC kuendelea kufanya vizuri zaidi katika mashindano yajayo.
Tunawatakia kila la heri katika michuano inayofuata na tutawaunga mkono daima. Hongera tena kwa mafanikio yenu makubwa.