ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Siku hizi wana wanahamia kwenye kiwingu.Amia kwenye visungura mkuu sema mazingira ya ivi vidude wanapouza vichocholoni ndo kipengele ila mi najinunuliaga box zima hata ninywe bia kias gani nikiwa kitandani navuta droo nakipiga kimoja ndo nalala jaribu utakuja kunishukuru
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiii imeeendaaaaAmia kwenye visungura mkuu sema mazingira ya ivi vidude wanapouza vichocholoni ndo kipengele ila mi najinunuliaga box zima hata ninywe bia kias gani nikiwa kitandani navuta droo nakipiga kimoja ndo nalala jaribu utakuja kunishukuru
Jibapa halina tofauti na joka la kibisa.. Kula vibinti uta enjoy showSina uhakika ni aidha kichwa changu ndo kimekuwa sugu ama vipi.Hasa lile jibaba kubwa unalipiga lote na hulewi.
Binafsi mimi kila siku najilipua nyagi kubwa ila nakunywa maji mengi sana lazima ninywe likonyagi na maji makubwa mawili kuanzia week hii halileweshi k vant siitaki.
Kiwingu kinaleta upinzani mkubwa sana sokoni.. Sasa hivi Smart anasubiriJaribu kiwingu na Sawani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hanson choice inapandisha nyongo vibaya mnoSure! Konyagi ni kinywaji change pendwa ila lile bombadia kubwa ni hovyo sana!
Bora vile vidogo nikipiga vitatu naweza jisikia kuchangamka!
Now nahamia Hanson choice
Zishaharibiwa kama Heineken tu
Sikuizi hakuna fast mover isiyofyatuliwa kimara.
Nadhani grants na Heineken ndio waathirika wakuuSikuizi hakuna fast mover isiyofyatuliwa kimara.
Anzia Jibapa, Hanson, Heineken, Windhoek, Jaggermaster, na Henesy VSOP et zamani grants wamezifyatua sana sana yani.
Ofcoz mkuu
Leo nilikuwa mahali mtu anabandua manganda ya Heineken kama ya kwenye Safari... hiyo bia simshauri mtu anywe aisee...
Ulaji kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake! [emoji2827]Leo nilikuwa mahali mtu anabandua manganda ya Heineken kama ya kwenye Safari... hiyo bia simshauri mtu anywe aisee...
Sema sijui LTR wake wanafanya nini hadi zinakuwa nyingi kias hicho sokoni.. so so bad.
Lazima ifidiwe, watu wanakula loan mpaka kwenye Pension funds tufanyeje...