Konyagi chunguzeni huenda ziko fake mbona hazileweshi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Sina uhakika ni aidha kichwa changu ndo kimekuwa sugu ama vipi.Hasa lile jibaba kubwa unalipiga lote na hulewi.

Binafsi mimi kila siku najilipua nyagi kubwa ila nakunywa maji mengi sana lazima ninywe likonyagi na maji makubwa mawili kuanzia week hii halileweshi k vant siitaki.
 
Amia kwenye visungura mkuu sema mazingira ya ivi vidude wanapouza vichocholoni ndo kipengele ila mi najinunuliaga box zima hata ninywe bia kias gani nikiwa kitandani navuta droo nakipiga kimoja ndo nalala jaribu utakuja kunishukuru
Siku hizi wana wanahamia kwenye kiwingu.
 
Amia kwenye visungura mkuu sema mazingira ya ivi vidude wanapouza vichocholoni ndo kipengele ila mi najinunuliaga box zima hata ninywe bia kias gani nikiwa kitandani navuta droo nakipiga kimoja ndo nalala jaribu utakuja kunishukuru
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiii imeeendaaaa
 
Jibapa halina tofauti na joka la kibisa.. Kula vibinti uta enjoy show

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kongagi zina namba man...

Namba 21 kwenda mbele ni maji tupu.

Ngongq kuanzia moja had 20 utakuja simulia...
Ila jibapa la no 11 ni kaz kaz,😄
 
Leo nilikuwa mahali mtu anabandua manganda ya Heineken kama ya kwenye Safari... hiyo bia simshauri mtu anywe aisee...

Sema sijui LTR wake wanafanya nini hadi zinakuwa nyingi kias hicho sokoni.. so so bad.
Ulaji kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake! [emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…