Koo kuwasha

magombe junior

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,018
Reaction score
1,042
Niwasalim kwa heshima zote..

Nina karibu miaka mitano (5) nimekua na tatzo la koo kuwasha na kunifanya nikohoe kila wakat...

Kikohoz hua kinazid nnapokua kwenye maeneo ya barid (kwa mfano sehem zenye ac) au ninapokunywa kitu cha barid...naona kama kuna makohozi ambayo kila nikijitahid kukohoa yatoke hayatok (hayaishi)....

Naomba kujua huu ni ugonjwa?,,na kama ndio ni ugonjwa gan na una madhara gan ya muda mrefu na mfup

Nawasilisha
 
acha uzamiaji mkuu..ni hatari kwa afya yako na koo lako kwa ujumla!!!
Tafadhari Nenda haraka sana hospitali kapime UKIMWI
 
acha uzamiaji mkuu..ni hatari kwa afya yako na koo lako kwa ujumla!!!
Tafadhari Nenda haraka sana hospitali kapime UKIMWI

Mhhh...mkuu nna presha ya kushuka sasa kwa maneno yako utaleta maafa!
 
Salam. Si kila dalili ni za HIV! Acidity ikizidi tumboni unakuwa unakohoa kila mara na kama una infection kifuani pia husababisha.
 
Salam. Si kila dalili ni za HIV! Acidity ikizidi tumboni unakuwa unakohoa kila mara na kama una infection kifuani pia husababisha.

There you are...madhara yake ni yap na dawa plz..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…