Blackninja
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 378
- 313
- Thread starter
-
- #21
Sijui amejichimbia wapi? anaulizwa hajibu
Ni hali ya mda kidogo sio ya janaJana Umetumia Vyakula/Vinywaji Gani Tuanzie Hapo Kwanza
Nikibeua natoa harufu mbaya an nalazimika kutembea na bablishUmekula nini? Ukibeua unatoa harufu mbaya au kawaida?
Chukua majani ya mlonge utafune; kama utapata mbegu nazo zinasaidia.
Inawezekana ulichanganya vyakula - sasa vimetengeneza gesi chafu. Hapo ukitafuna mlonge na kunywa maji ya moto hiyo gesi itaisha mara moja. Hii ni kawaida wala sio ugonjwa.Nikibeua natoa harufu mbaya an nalazimika kutembea na bablish
Chukua baking soda ya simba ile iliyomo kwenye boksi ya rangi ya blue na nyekundu......wanayotumia kutengenezea keki na sio ile ya maandazi....
Chukua maji ya kunywa ujazo wa lita moja......tia kijiko kimoja na nusu cha hiyo baking soda niliyokwambia tikisa vema na uanze kunya kama unavyokunywa bia.....
Halafu achana na kutumia soda aina zote, juice za viwandani, bia na chai ya majani haya meusi(chai ya rangi) ila utumie sana yale majani ya kijani!
Angalia vzr mkuu chini apo ndo kuna uvimbe napata tabu sanaaa ata kumeza mate panauma sanaKimeza tonge hicho mkuu ukikiondowa utakuwa unaongeya kama powertilla
Tazama vizuri dio kimeza tonge ana kivimbe chini kidogo ya kimeza tongeKimeza tonge hicho mkuu ukikiondowa utakuwa unaongeya kama powertilla
Wahi kwa Daktari bingwa wa PUA,KOO NA MASIKIO (ENT) SPECIALIST .UPO WAPI MKUUAngalia vzr mkuu chini apo ndo kuna uvimbe napata tabu sanaaa ata kumeza mate panauma sana
Angalia vzr mkuu chini apo ndo kuna uvimbe napata tabu sanaaa ata kumeza mate panauma sana
Nipo iringa mkuu sasa sijui hao maspecialist nitawapata wapiMkuu upo wapi?????
iringa mkuu sijui maspecialist nitawapata wapi ni wako dar tuu ??Mkuu kama upo Dar nenda pale magomeni EKENYWA HOSPITAL ipo kwa sheikh yahya ndo kuna specialist wa kichwa kizima
Nipo iringa sasa sijui wanapatikana wapiMkuu
Wahi kwa Daktari bingwa wa PUA,KOO NA MASIKIO (ENT) SPECIALIST .UPO WAPI MKUU