Kimeza tonge hicho mkuu ukikiondowa utakuwa unaongeya kama powertilla
Sawaaaa mkuuNenda ekenywa ,magomeni dar-es-salaam.nimewahi kutibiwa hapo,usichelewe wahi mapema,isijegeuka saratani.
Kuna siku nilimwelekeza doctor kwamba ni uvimbe wa mda anifanyie transfer akaja juu anasema namfundisha kazi ndo nkaamua kuja iringa mjini mwenyewe kesho ndo nionane na specialistDah ila Hosp zetu Ni janga lingine Yan jamaa hawako fasta kabisa kwanini wasingekuisha mapema kuliko enda Hosp miez karbu mitatu unapewa antibiotics tu aseh hii Ni hatari Yan ndani ya mda wote huo haujapata nafuu bado wanakomaa ningechapa viboko hao madaktari
Mimi ningemuwashia moto Hawa madaktari sijui wanashida Gani kama hela nalipa Mimi au bima ninayo kwanini anaweka roho ngumu pale napotaka matibabu zaidi kujua tatizo nadhani huu Ni utaratibu mbovu sana madaktari wengi sasa wanaassume tu utasikia kwa umri wako huu huwezi pata ugonjwa huu hivo tumia hii dawa utapona wamesahau kabisa kwamba majira yamebadilika magonjwa hayana rika sasa yanampata MTU yeyoteKuna siku nilimwelekeza doctor kwamba ni uvimbe wa mda anifanyie transfer akaja juu anasema namfundisha kazi ndo nkaamua kuja iringa mjini mwenyewe kesho ndo nionane na specialist
Kama ulikuwepo mkuuu alinikadiria aksema kwa age ako huo uvimbe hauna madhara an madaktar wetu hawaMimi ningemuwashia moto Hawa madaktari sijui wanashida Gani kama hela nalipa Mimi au bima ninayo kwanini anaweka roho ngumu pale napotaka matibabu zaidi kujua tatizo nadhani huu Ni utaratibu mbovu sana madaktari wengi sasa wanaassume tu utasikia kwa umri wako huu huwezi pata ugonjwa huu hivo tumia hii dawa utapona wamesahau kabisa kwamba majira yamebadilika magonjwa hayana rika sasa yanampata MTU yeyote
Ninawajua ndo maana badala wafanye kazi waliyosomea wanaanza kufanya kazi za kupiga ramliKama ulikuwepo mkuuu alinikadiria aksema kwa age ako huo uvimbe hauna madhara an madaktar wetu hawa
Kesho ntaleta mrejeshoNinawajua ndo maana badala wafanye kazi waliyosomea wanaanza kufanya kazi za kupiga ramli
Nenda hospitali ya rufaa halafu watakachokueleza zingatia. Ila ni vema ukazingatia Yale waliyokwambia huko hospital na watayokwambia hospital ya mkoa kabla ya kwenda dar,unaweza poteza hela bure wakati kweli ni jambo la kawaida,muda mwingine hivi vitu huwa vinakuja kama alejiNgoja niende hospital ya rufaa kesho
Siyo kansa hiyo mkuu huo ni uvimbe tu usiogopeAAsante mkuuu an naogopa sana Kansa an
Dodoma? Haya karibu mkuu.Angalizo ukifika utalazwa usiseme Kama una ndg Dom na utakaa nje ya hosp,utapataMrejesho wa hospital Leo ....... Nimepewa barua ya transfer kwenda Dodoma kwa ajili ya vipimo kama vinavyoonekana hapo chini......... Nashkuru kwa wote mlionipa moyo na mawazo yenu keshokutwa nategemea kwenda Dodoma...........
Bima inafanya mkuu kwanini wamekupeleka Dodoma au ndo karbu?Na sijajua kwa hivo vipimo wanatumia bima au wanataka cash kwa anaejua anisaidie hilo........ Nashkuru sana
Ucjal mkuuu nkifika ntakupa taarifaDodoma? Haya karibu mkuu.Angalizo ukifika utalazwa usiseme Kama una ndg Dom na utakaa nje ya hosp,utapata
usumbufu wa KLINIK za kila wiki Bora ubaki HUKOHUKO wodin ili tiba iwe rahis na kupunguza GHARAMA zisizo za lazima.
PIA UKIJA TUWASILIANE JAPO NIWE NAKUTEMBELEA mkuu Kama hutojali
Ndo nchi yetu mkuu tutafanyaje sasa kama hospital ya mkoa haina ogdBima inafanya mkuu kwanini wamekupeleka Dodoma au ndo karbu?
Ila nchi yetu hii kweli vituko yani OGD tu mpaka Dodoma alafu wanasiasa wakisimama majukwaani utadhani nchi imekuwa kama heaven
Ni kweli mkuuu ni aibu asee afu wananunua madreamlinerDah wanasiasa muone aibu kwa kweli mnayoyasema majukwaani Na uhalisia unasikitisha sana yani mpaka Leo Karne ya 21 Hosp ya rufaa iringa Haina kipimo cha OGD alafu mnakazana nunua mandege jamani tumieni akili kidogo tu Bila afya hakuna ambaye ataweza hata piga kelele hapa jukwaani embu shughulikieni mambo ambayo yanawagusa watanzania Moja kwa Moja achaneni Na mavitu ya ajabu ajabu imarisheni afya Na elimu Ni aibu Na ukatili wa Hali ya juu huu mnatufanyia