Koplo mstaafu abubujikwa na furaha kukutana na Rais Samia. Ampa fimbo maalum Rais kwa ajili ya kuchapia wapinzani!

Habari za kipumbavu hizi
 
Kwamba wapinzani ndio maadui na wanastahili kuchapwa ?

Badala kujikita kwenye issues na kuangalia ni nini kinasemwa au kuongelewa tumebakia kushabikia ni nani kasema au ni wa upande gani

 
Ewaaaa 🤣🤣🤣🤣
Miaka fulani Moi aliwahi kudondosha ile fimbo yake[Fimbo ya nyayo] akiwa US kwenye mkutano wa UN .

Sasa akiwa anajiandaa kusafiri kwenda Australia kushiriki mkutano wa jumuiya ya madola.

Ikabidi wasiondoke kwanza US mpaka fimbo nyingine itumwe kutoka Kenya ili akifika kuhudhuria mkutano wa jumuiya ya madola awe na fimbo yake.

Sasa unajiuliza hawa viongozi na vifimbo kuna nini hadi hawezi kuhudhuria mkutano bila fimbo?
 
Hiyo kopro uwanja wa vita akibinywa PUMBU na adui so atatoa Siri zote za jeshi lake na ramani??🤣🤣😅🤣😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…