Kora Awards Alikiba wa pili kwa mauzo Afrika

Mkuu mbona unaleta userious kwenye komedi?
Kama unadhani anafanya komedi na hamaanishi, hebu msome moja ya post zake:
Huyo jamaa kaingia chaka... badala ya kuingia Kora's English page yeye aliingia kwenye French page!!

Country kwa Kifaransa ni pays... kwahiyo alipoona pays, akajua payment!! Btw, hata kama angekuwa anafanya comed, pasingetokea wa kuamini kwamba ni kweli?! Sasa kwanini uache watu wakiendelea kulishwa ujinga!!!
 

Kwangu mimi habari yoyote ya King Kiba inakuwaga ni komedi.
 

Siyo Mbaya tuna Watanzania wawili katika 20 Africa



 
Team b wanataka link, hiv hakuna njia nyingine ya kutumia hadi mkapata habar msiyoipenda, Ali Khan hatareee
 

Asee
Nilitaka nishangae
Afadhali umekuja ku clarify
 
hahahahahahahahaha[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] duuuuuh jamani ata kama ni kiki sio kiivo ali kiba awapite wote hao Afrika mmmmh jamni tuche
 
Acha kuongopea uma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…