Kora Awards Alikiba wa pili kwa mauzo Afrika

Ngoja nisubiri team mondi kipovu chao cha kupinga,

Nampa big up Ali k
Coz kwa kaanza kutupa burudani kitambo.

Tatizo wamezoea mashauzi ya Bosi wao Mimi sina team Ila mtu akifanya vizuri nampa big up
 
Mkuu usishange kule hakuna janja janja kama kwenye viewrs kule YouTube.
 
diamond ana mtindo wa kutoa audio+video kwa pamoja,kama ujuavyo wabongo ukitoa audio n vdeo kwa pamoja akil zote ni kwny vdeo,alikiba na wengne wanaanza audio then vdeo baada ya majuma kadhaa au mwez so lazma audio iuzke zaid,hope umenipata mkuu
 
diamond ana mtindo wa kutoa audio+video kwa pamoja,kama ujuavyo wabongo ukitoa audio n vdeo kwa pamoja akil zote ni kwny vdeo,alikiba na wengne wanaanza audio then vdeo baada ya majuma kadhaa au mwez so lazma audio iuzke zaid,hope umenipata mkuu
 
Waache wajitekenye. Ndyo kazi wanayoiweza zaidi. Inawafariji.
 
Na sitoshangaa ikiwa mpaka sasa hivi bado unamuamini mleta mada
 
mobile.twitter.com/kora_awards/status/831065694712233984/photo/1?ref_src=twsrc%5Etfw
 
Kwani takwimu za mkito kwa hapa bongo anaongoza?jibu nazani utakuwa nalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…