Korea Kaskazini imefanya majaribio ya makombora

Korea Kaskazini imefanya majaribio ya makombora

Nani mwenye means of delivery nzuri za hayo makombora? Russia ina makombora wa kufika UK chini ya dakika 2 ya nuclear. Unazungumzia nini wewe?

Unafikiri rais Macron ni mjinga kusema hatoingia kupambana na Russia kwenye vita ya nuclear?

Baada ya USSR kuvunjika makachero wengine waliyodondokea kwenye nchi za NATO walitoa siri kuwa Russia ina mfumo unaoitwa DEAD HAND ni automatic nuclear weapons-control system. Hata uilipue Russia yote kwa nuclear huo mfumo unajiendesha wenyewe na kurudisha mashambulizi kwa wahasimu wao.

Putin alipofanyiwa interview aliwaambia west. Hata kama mkitushambulia DEAD HAND itafanyakazi yake, na watahakikisha West wote wanaenda kuzimu kwani hawatowaachia hata muda wa kufanya toba/kutubu.

Russia imeshajiweka tayari kwa lolote, ngoja west wakosee mahesabu na waone kitakachowajia.
Kwanini hujiulizi Putin amepasha moto nuclear mara ngapi mbona alishindwa kufyatua? aliogopa urusi kubaki vumbi tupu
 
Wenzako wanatumia akili nzito wewe unatumia nyepesi utaelewa nini kuhusu haya!

Haya mambo si ya ki political au ideological! Hizi ni kanuni za kivita. Russia ni taifa kongwe kuliko Marekani.

Limepigana vita nyingi mno na vita kubwa! Ukubwa wake wa km za mraba hazikupatikana kwa sababu hayo maeneo ni baridi bali kwa vita.

Hivyo, huwezi kulishinda au kulielekeza kivita jinsi gani ya kuendesha mashambulizi yao au nini cha kufanya! Wewe umepigana vita gani na ngapi?

Na Ukraine ipi inayoifanya Russia isilale wakati ndani ya nchi ya Russia raia wanaendelea na maisha yao kama kawaida?!

Kama unayoakili ya kufikiri kwa nini Russia ilipotangaza kujitoa kwenye makubaliano ya Strategic Arms Reduction Treaty (START) Mkurugenzi Mkuu wa NATO, Biden na Blinken Katibu Mkuu wa Marekani kwa nini wamelalamika kwa pamoja na kutoa masikitiko yao Russia kujitoa huko kwenye START III?

Unazungumza nini humu zaidi ya kutuletea ngano za pauka pakawa?

Kama hujui North Korea na USA ni karibu sana kijiografia. NK wakirusha kombora la nuclear linatua New York City ndani ya dakika 30 na hizi takwimu ni za miaka takribani 4 iliyopita, vipi kwa sasa?

Licha ya majaribio yote anayoyafanya kwa nini hawamvamii? Kwa nini wanaishia kumlaani tu?

Unajua ya kwamba manuari ya kivita ya North Korea ilishawahi kuvuka mpaka baada ya kupata hitilafu na kuingia Gangneung South korea? South Korea ilipeleka wanajeshi 43,000 kupambana na wanajeshi wa North Korea 26 na mapambano yalichukua siku 49.

Kim Jong ill baba wa kiongozi wa sasa wa NK alimwambia Bush ajaribu kuivamia NK tena kama miaka ya nyuma aone. Na wao watahakikisha Bush atasomeka kama Rais mjinga aliyewahi kutokea America na atakayesomwa vizazi na vizazi.
Huko nyuma hakuna vita aliyopigana Russia bila ya msaada kutoka ulaya na marekani, hata utajiri wa Russia ulitokana na nchi za ulaya gasi karibu 47% Putini alikuwa anavuna kutoka ulaya baada ya kulikoroga sasa uchumi wake unaanguka

Hakuna raia wa russia aliye na amani na maisha sasa kwa wale walioko Urusi, wana hofu kubwa adui akimaliza kutolewa mipaka ya Ukraine huenda maangamizi yakatua Moscow ndio maana raia wasio na idadi wametokomea kusikojulikana ulaya, dubay na Uturuki kutafuta maisha, fuatilia vizuri baada urusi kujua sasa wananchi wake hawana furaha na wanatimkia nchi nyengine bunge lao wakatunga sheria kwa raia atakayekimbia nchi atapigwa double taxation atalipishwa kodi mara 2 lakini imeshindikana wimbi ni kubwa kila leo raia wa urusi wanakimbia nchi, matajiri wa kirusi zaidi ya 15 elfu wamehama Russia.

Kama ulisikiliza vizuri hotuba ya Zelensky juzi kwenye sherehe za mwaka kuvamiwa 24 February amesema anauhakika 2023 kazi kumtoa mvamizi kwenye nchi yao itakuwa imekamilika, kuna kila dalili urusi kushindwa vita, alianza na wanajeshi 200,000 akaongeza na 100000 lakini baadae tukashuhudia analazimisha vijana wa nchi yake kwenda vitani kutaka wasitake, wafungwa na sasa Wagner group baada wanajeshi wake kwenda na maji, vita ina mwaka 1 superpower amepiga kambi Cremea na wanajeshi wa Irani anafundishwa kutengeneza drone za Kamikaze kutoka Iran, anaomba silaha toka China lakini North Korea

Putini alitumia sana ndaro sasa West wamemjua udhaifu wanamdhoofisha kila upande, mara anamtuma China aishauri West waende kwenye meza lakini Zelensky anasema mpaka mipaka ya Ukraine itakapokuwa huru, kama unafuatilia leo rasmi mizinga imetua Kyiv Lopard 2 kwa ajili ya kazi kwenye hivyo vijiji uchwara vya pemben pemben aliko huyo dikteta aliyekubuhu

Ukubwa wa eneo la ardhi alilonalo Urusi ni tofauti sana na fikra zako kwa kila eneo la nchi la ardhi likiwa kubwa ndio atakuwa anajua kupigana sana,
 
Alisema nchi itakayoisaidia silaha Ukraine ataishambulia kwa nuclear sasa wanyama wako waziwazi US-Nato ameogopa nini tena
Kama wameanza propaganda kuwa Viongozi wanaoenda Kyiv wanaongozana na silaha.

Kama wameshindwa zuia silaha zisifike Ukraine

Kama hadi leo wamelipua bradley ambayo haijafika Ukraine

Kama hadi leo wamelipua Himars nyingi kuliko zilizopelekwa Ukraine

Hapo unamuona Russia yuko makini kweli?
 
Huko nyuma hakuna vita aliyopigana Russia bila ya msaada kutoka ulaya na marekani, hata utajiri wa Russia ulitokana na nchi za ulaya gasi karibu 47% Putini alikuwa anavuna kutoka ulaya baada ya kuliko
Hapa hatupo kwenye vijewe vya gahawa!

Nenda ka google list of Russia wars. Russia imekuwa ikipigana tangu miaka ya 830. Amerika imepata uhuru july 2, 1776.

47% Putini alikuwa anavuna kutoka ulaya baada ya kulikoroga sasa uchumi wake unaanguka
Nend kasome hapo!
Kama ulisikiliza vizuri hotuba ya Zelensky juzi kwenye sherehe za mwaka kuvamiwa 24 February amesema anauhakika 2023 kazi kumtoa mvamizi kwenye nchi yao itakuwa imekamilika, kuna kila dalili urusi kushindwa vita,
Aliyekuwa waziri mkuu staafu wa Israel Naftali Bennet alikuwa ni mmoja wa usuluhishi wa mgogoro (Ukraine-Russia). Zelensky alimuomba Naftali amhakikishie usalama wake wa maisha kutoka Russia na kipindi hicho Zelensky alijificha hajulikani yupo wapi mwanzoni kabisa mwa SMO.

Screenshot_20230225_213620_Chrome.jpg

Screenshot_20230225_213642_Chrome.jpg

Baada ya kuahidiwa kutouliwa akatoka mafichoni na kuita vyombo vya habari kuwa ataipigania Ukraine mpaka kufa! Zelensky anachofanya ni mambo mawili tu. Mosi, uigizaji kuhadaa watu wajinga, na pili mropokaji. Hakuna cha ziada. Ni kanjanja tu kama makanjanja wengine.

Tangu mwaka jana 25%+ ya Ukraine ipo mikononi mwa Russia, Zelensky amefanya nini?

alianza na wanajeshi 200,000 akaongeza na 100000 lakini baadae tukashuhudia analazimisha vijana wa nchi yake kwenda vitani kutaka wasitake, wafungwa na sasa Wagner group b
Wewe ni either Extremely Smart or Extremely Ignorant. Kwani mobilisation ni kitu cha kushangaza?! Wapi umeona Russia inakamata raia wake kama Ukraine kuwalazimisha waingie vitani?

Ripoti kutoka Israel uliisoma au unakuja hapa na kutoa mashudu ya kichwani mwako?! Russia ilipeleka wanajeshi wachache hali ya kuwa wakahodhi maeneo makubwa ya Ukraine. Ili uweze kusonga mbele na safu ya ulinzi ibaki kulinda hayo maeneo inakubidi uongeze kiasi kingine cha wanajeshi.

Na idadi nyengine ya wanajeshi shupavu wabaki kulinda nchi mama kwa ujumla. Huwezi kutoa wanajeshi wote au wengi kupeleka kupigana nchi jirani huku ukiacha idadi ndogo ya wanajeshi wengine nyumbani kwako! Pakivamiwa utafanya nini? Uta defence vipi na utafanya offensive kuanzia wapi na kivipi?

Wewe huna akili, unanichosha!
 
Alisema nchi itakayoisaidia silaha Ukraine ataishambulia kwa nuclear sasa wanyama wako waziwazi US-Nato ameogopa nini tena
Hakuna cha mnyama wala mmea.
Nchi itakayoisaidia Ukraine ni kupeleka majeshi yao nchini ukraine kama ilivyokuwa Iraq au Libya.

Kinachoendelea Ukraine kwa sasa kutoka west ni mkopo wa silaha. Huu ni mkopo wala si msaada! Yupo vitani anafanya mkopo wa silaha kwa mataifa mengine ili aendelee kupigana. Hakuna cha msaada hapo!

Hizo habari za kusema atapiga nuclear nchi itakayosaidia Ukraine umetunga wewe! Hizo ni hallucinations zako za wishful thinking!
 
Hakuna cha mnyama wala mmea.
Nchi itakayoisaidia Ukraine ni kupeleka majeshi yao nchini ukraine kama ilivyokuwa Iraq au Libya.

Kinachoendelea Ukraine kwa sasa kutoka west ni mkopo wa silaha. Huu ni mkopo wala si msaada! Yupo vitani anafanya mkopo wa silaha kwa mataifa mengine ili aendelee kupigana. Hakuna cha msaada hapo!

Hizo habari za kusema atapiga nuclear nchi itakayosaidia Ukraine umetunga wewe! Hizo ni hallucinations zako za wishful thinking!
Umempa za uso, nadhani ataacha ushabiki maandazi. Labda kama atakuwa kichwa ngumu kama kp kipanya44
 
Hakuna cha mnyama wala mmea.
Nchi itakayoisaidia Ukraine ni kupeleka majeshi yao nchini ukraine kama ilivyokuwa Iraq au Libya.

Kinachoendelea Ukraine kwa sasa kutoka west ni mkopo wa silaha. Huu ni mkopo wala si msaada! Yupo vitani anafanya mkopo wa silaha kwa mataifa mengine ili aendelee kupigana. Hakuna cha msaada hapo!

Hizo habari za kusema atapiga nuclear nchi itakayosaidia Ukraine umetunga wewe! Hizo ni hallucinations zako za wishful thinking!
Ni lazima upinge na ukatae kauli za Putin kama alivyoputin mwenyewe analosema leo kesho hakumbuki tena ndio maana US wanamchukulia ndio madhaifu yake na sasa wanamfanya wanavyotaka, putin ni kiongozi muongo sana, lakini muoga sana, lakini ndaro kwa wingi sasa kila kitu kinamsuta,

Kila alichosema atafanya endapo US na west watafanya hivi mara vile ameshindwa kufanya, sasa yeye na wasaidizi wake hawana tena maneno. Sio kila nchi wanataka mkopo wa silaha kutoka US wanapewa lakini kwa Ukrean imekuwa kama kumsukuma mlevi mizigo inaendelea kupokelewa Lopard 2 soon utasikia hatma ya russia kule Ukrean.

Anayekula hasara ni Russia ndie ambaye mali zake na fedha nyingi walizoekeza ulaya zinataifishwa zinapelekwa misaada Ukrean, hivyo ndivyo anavyoumizwa dikteta putin

,
 
Back
Top Bottom