Korea Kaskazini kuipa Urusi wanamgambo 100,000

Kweli inafikia hatua mpaka urusi anakodi wapiganaji?
Kweli?
Kweli?
Kweliiii???
Na zile mbwembe zote alizoingianazo Ukraine huku akitoa mkwala mzito kuwa yeyote atakayewasaidia Ukraine atakiona Cha moto?
Hakika wahenga waliona mbali sana waliposema dunia duara
 
Huwez amini mkuu, ndo Russia huyuhuyu yaani.
 
Umechelewa kujua ata ww kuwa Russia katika Operation yake huko Ukraine hajatumia Red Army ila anatumia wanajeshi wa kukodi Wagner Group pia unatumia jeshi la watu wanaotaka kujitenga DPL?
 
Umechelewa kujua ata ww kuwa Russia katika Operation yake huko Ukraine hajatumia Red Army ila anatumia wanajeshi wa kukodi Wagner Group pia unatumia jeshi la watu wanaotaka kujitenga DPL?
... shukrani mkuu kwa kutujuza. Kumbe wale majenerali wote wa Russia waliouwawa Ukraine hawakutokea Red Army ila Wagner Group. Good.
 
Wewe Ndo yule ulileta Uzi ukiwashutumu vijana wa siku hizi hawana maadili ulipokuwa kwenye seminar ya sensa. Una miaka karibia Sabin lakini angalia lugha unayotumia.

Badala ya kuwa mfano mzuri kwa sisi vijana jamvin
Umenifananisha mkuu sijali kuhusu sensa wala lugha mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…