BigBro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 3,585
- 11,601
Lee Eun-ju wa Korea Kusini (kulia) na Hong Un-jong wa Kaskazini walipiga picha wakiwa wametabasamu wakati wa mazoezi kabla ya kuanza kwa michezo hiyo. Picha hii imekuwa gumzo kubwa kwenye mitandao duniani.
Lee (kushoto) Miaka 17 anashiriki kwa mara ya kwanza michezo hii.
Lakini wakati hali ikiwa hivyo kwa Korea Kusini na Korea Kaskazini ambao ni ndugu wanaozungumza lugha moja wenye uhasama wa miaka, timu ya Olimpiki ya Lebanon imekataa kupanda basi moja na wanamichezo wa Israel hali iliyopelekea kutafutiwa basi jingine.
Kama kawaida USA Baby (Kwa mujinu wa Nyani Ngabu) Marekani inaongoza kwenye medali.
Source: Daily Mail