Korea Kusini kujenga chuo kikuu cha Konza kwa gharama ya Kshs 10b

Korea Kusini kujenga chuo kikuu cha Konza kwa gharama ya Kshs 10b

Mkuu mbona umefafanua vizuri tu, huyu anataka kupotosha members kimaksudi - point zako ziko valid kwa upande wa Tanzania vile vile na Kenya - Tatizo kubwa letu Wafrica ni kutaka kujikweza wakati mambo madogo yanatushinda, unawezaje kujidai kwamba nchi yako inataka kuwa na viwanda vikubwa vya kuhunda magari kuliko vya mji wa Detroit Marekani, si hilo tu wanakwenda mbali zaidi kwa kudai watajenga viwanda vya HiTech kushindana na vya Silcon Valley!!! Ndoto tu za mchana.

Badala ya kujikita kujenga vyuo vya Ufundi vyenye adhi kila mkoa ikiwezekana, sisi tunakimbilia kujenga White Elephant moja au mbili zisizo na tija kwa Taifa. Hata nchi za magharibi vyuo vya ufundi ni vingi kuliko Vyuo vikuu 4 a reason - sisi hapa kujitia wajuaji.


Uko sawa kabisa hatuwezi kuendelea bila ya kuwekeza kwenye hivi vyuo vya ufundi na Mlm.Nyerere aliliona hili, hivi vyuo ni muhimu sana pmj na Veta sasa tulipaswa tuwekeze hapa ili kwa mfano mgodi wa dhahabu kama uko Khama basi kuwe na Veta hapo hapo Kahama iliyospecialize kwenye mambo ya madini!
 
Kwa kuongelea Reli, Br nimetoa kama mfano tu, ukiangalia technical schools za TZ zinakozi zote hizo mpaka mambo ya IT na ndipo tulipopaswa kuanzia, na sababu kubwa ya kuwa hizi technical schools ni kwa sababu ya Nyerere aliliona hili ndiyo maana akaanzisha hivi vyuo vya ufundi sema leo hii tumevitelekeza lkn vinapaswa kutoa skills zote za hapo katikati!

Na ninakuhakikishia hata hizo ajira laki 2 unazosema nusu nzima kama siyo zaidi ya well paying jobs zitaenda kwa wageni na Wakenya watabakia kama ilivyo kawaida kuwa walinzi magetini, madereva, home care taker n.k kwani maendeleo ni hatua na huwezi kuruka hatua moja kwenda nyingine na ndiyo maana hata huko Marekani hawakuanza na Silicon Valley bali walianza na community colleges ambazo zinatoa skills zinazohitajika kwenye eneo husika, hayo ni maoni yangu!

Kuna kitu bado hukielewi, na ndio hulka ya Watanzania, huwa mna matatizo sana ya kuelewa jambo lolote na inachukua nguvu nyingi sana kuwaelimisha. Konza city sio chuo, bali ni maeneo ya kazi kwa wabunifu walioletwa pamoja. Yaani technical practitioner hub. Hiki chuo kilichotajwa kwenye hii mada kitajengwa hapo pembeni ili kuongeza nguvu kwenye huu mradi wa Konza.

Tayari tuna hubs kama hizi ambazo tumejijengea wenyewe na zimeonyesha ufaulu mkubwa kwenye kuwapa vijana ajira.
Kwa mfano tu, iHub ambayo mimi ni mshirika, ina zaidi ya wanachama 16,000 na imefaulu kuzalisha kampuni za ICT 170 na tayari zingine 28 zipo kwenye incubator. Humo ndani kuna vituo vya utafiti na vifaa vya kila aina kwenye nyanja za ICT. Sasa huo ni mfano mmoja tu, kuna zingine kama Nailab n.k.

Sasa kwa kujenga Konza city na kuipa kila aina ya vifaa vinavyohitajika kwenye ICT, vijana wengi watapata ajira maana tayari wengi wamefaulu kujipa hizo ajira hata kabla ya kujengewa mazingira na serikali. Fahamu kuwa vijana wetu wamepiga hatua sana kwenye haya masuala ya ICT, wengi wanafanya kazi ambazo hata hazipo Kenya. Wanaajiriwa kwenye BPO na kuhusika kwenye miradi mikubwa duniani, aina ya miradi ambayo bado haijafika Kenya. Sasa ndio hapo watajengewa mazingira ya kuwawezesha kuzalisha na kufanya shughuli hizo wakiwa na vifaa vya uhakika vya kisasa na kwa kwenye eneo moja.

Huko Tanzania mlijaribu lakini bado mpo taratibu sana, nimekua hapo COSTECH, vijana wanajikaza kufanya mengi lakini wamepewa kisogo na serikali. Ninawafahamu vijana wenu wachache wabunifu ambao wametamaushwa na serikali yenu hiyo ya CCM. Hawapigi hatua na wanaishia kufanya hizo kazi unapigia debe za ulinzi na kubeba mabox.
 
mbona hizi technical institutions ziko nyingi hapa +254..Mfano..TUM ana TUK nk...sasa sioni haja ya kusacrifice hiyo project ya konza kwa kisingizio cha kuproduce technicians na technologists.let the engieeners and scientists be produced cz they all have a role to play in the market
 
mbona hizi technical institutions ziko nyingi hapa +254..Mfano..TUM ana TUK nk...sasa sioni haja ya kusacrifice hiyo project ya konza kwa kisingizio cha kuproduce technicians na technologists.let the engieeners and scientists be produced cz they all have a role to play in the market
 
Mkuu mbona umefafanua vizuri tu, huyu anataka kupotosha members kimaksudi - point zako ziko valid kwa upande wa Tanzania vile vile na Kenya - Tatizo kubwa letu Wafrica ni kutaka kujikweza wakati mambo madogo yanatushinda, unawezaje kujidai kwamba nchi yako inataka kuwa na viwanda vikubwa vya kuhunda magari kuliko vya mji wa Detroit Marekani, si hilo tu wanakwenda mbali zaidi kwa kudai watajenga viwanda vya HiTech kushindana na vya Silcon Valley!!! Ndoto tu za mchana.

Badala ya kujikita kujenga vyuo vya Ufundi vyenye adhi kila mkoa ikiwezekana, sisi tunakimbilia kujenga White Elephant moja au mbili zisizo na tija kwa Taifa. Hata nchi za magharibi vyuo vya ufundi ni vingi kuliko Vyuo vikuu 4 a reason - sisi hapa kujitia wajuaji.
Umemaliza hakuna la zuada hapo
 
Ukiniuliza mimi, hili ni kosa kubwa sana ambao Afrika tunafanya, ni kama TZ na UDOM, sidhani kama hicho Chuo kitasaidia chochote au niseme kama kitafikia matarajio ambayo yanategemewa kwa maoni yangu ni bora wangechukuwa hizo fedha na kuzisambaza nchi nzima ya Kenya hata kujenga vyuo vidogo vya Wanafunzi kama 3000-5000 lkn kwenye kila eneo la nchi au kuziwekeza kwenye technical schools kama vile Tanzania tuna Arusha tech, Moshi tech, Dar tech, Mbeya tech, Tanga tech n.k hizi technical schools ndiyo zinazotoa skills zinazohitajika na wider economy sema kwa TZ tumeshindwa kuzisimamia lkn ni wazo zuri sana!

Lkn kwenye nchi inayoendela kuchukua mabilioni ya fedha kujenga Chuo Kikuu kikubwa kimoja sidhani kama wazo zuri hili kosa hata TZ tumefanya (kwa maoni yangu) na UDOM, uwezo wa UDOM utakuwa ni kuchukuwa wanafunzi 40 000 sasa ni bora tungejenga UDOM ya wanafunzi 10 000 halafu fedha ambazo zingebakia tungejenga maeneo mengine ili kufungua nchi nzima!

Lakini kama nilivyosema hayo ni maoni yangu inawezekana siko sawa, kwa maana Nairobi tayari kuna University kuna haja gani ya kujenga nyingine kwa nini wasijenge Mombasa au sijui Kisumu na Bungoma?

Relax, everything has its place. setting up technical schools everywhere shouldnt stop setting up of a world class state of the art center of excellence research institute that will most likely be used to empower the other smaller ones around the country with its reseach and technology
Screenshot_2016-05-31-12-57-33.png



Fiber optic to every town HQ will enable each county govt to set up a tech hub if they want to....
Screenshot_2016-05-31-13-07-51.png
 
Poleni ndugu jirani.huyo msanii wenu bado anawaza ya kufanya huku kazi tu.

Hebu fuatilia yanayoendelea UDOM yaani inatia huruma. Elimu Bongo ni majanga.
 
Good news. But Konza Technocity is in Makueni County not Machakos.
 
Back
Top Bottom