cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo kujilamba lamba na kulamba koni [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo kujilamba lamba na kulamba koni [emoji23]
Kule wote walamba lips mwanaume mmoja Kim jong unHabari za muda huu wanajamvi, hiki kitu muda mrefu nlikuwa najiuliza. Ina mana hata tukisema kuwa romantic ndo kujidekeza kulembua lembua bila sabab za msingi. Na kujikoroga na make up mezani "half an hour" , asee seriously!?? Nmeshangaa kinadada wa bongo kuwapenda kim joo sijui hong yong wa series kunaletwa na nn!? . asee hii kibongo bongo ni u'chakula' huuView attachment 1944529
India kwa muvi za kisasa 2018- now makis yapo na wale wavaa madera na mitandio ya fut 40 hawapo sanaJamaa wanatamaduni kali, hata movies zao sijaona hata moja ambayo wanakiss, unakuta mwanaume na mwanamke wanaigiza kwenye scene la mapenzi lakini midomo haigusani, na hii iko kote bara Asia hata kwa Wahindi.
Sio kama uzunguni mwendo wa denda nje nje.
Ewaaaaaa [emoji41] ukweli usemwe tuKule wote walamba lips mwanaume mmoja Kim jong un
Nashkur kw kulion hiliWanaume wa bara la Asia wanapedenda sana kujiweka kikikekike...
Inasikitisha sana...
Mkuu usiwatetee tu kwa sabb unapenda series zile z kuangalia umejitanda shuka.. [emoji16]Hao wanaolamba koni macho yamelegea umewaona wapi? Upo korea? Na kama ni picha kwa vyovyote hilo ni tangazo.
We ambacho unakwama ni kujua tofauti kuwa kule no Korea wana maisha ya raha na wewe upo Tanzania unaganga na Mwigulu nchemba uko na stress mob kila kitu unachunguza unaona sio kawaida ila ni stress zako tu, huko kwao ni kawaida tu. Hata Bongo kulamba koni sio jambo baya sema watu wamejaa ujinga mwingi na kuaminishana hizo mambo za mademu. Wanaume bongo anavaa boksa wiki anaona ndo uanaume na masela wakijua unavaa boksa tofauti kila siku basi utataniwa mno. Kwahiyo tatizo sio wao, tatizo ni uelewa wako mdogo
Mtazamo gan kaka mbona hutoi hoja!?Nadhan mtazamo
Fuatilia mambo kabla hujafanya conclusion, wakorea wanapenda sana kujiremba si wanaume si wanawake, hiyo haimaanishi kwamba huko wengi wao ni wakina Lokole.
Labda kwa kuongezea tu, moja kati ya nchi ina sheria very strict mbele ya ushoga basi ni Korea
[emoji16][emoji16][emoji16]haya mambo ni kuyaacha yalivyo,tunavyowashangaa na kuwakejeli hibvi usikute na wao huko wanaangalia picha zetu wanaona meno ya njano,macho mekundu tunavaa ovyo ovyo wanabaki wanacheka .tena usikute wanatudiscuss na mademu zao wanulizana "baby hawa ni binadamu kweli?[emoji3][emoji3]
yaan huku tunawashangaa wao kuwa laini laini na wao kule usikute wanatushangaa tulivyokuwa na sura ngum ngum kama mawe[emoji3][emoji3]
umeua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]haya mambo ni kuyaacha yalivyo,tunavyowashangaa na kuwakejeli hibvi usikute na wao huko wanaangalia picha zetu wanaona meno ya njano,macho mekundu tunavaa ovyo ovyo wanabaki wanacheka .tena usikute wanatudiscuss na mademu zao wanulizana "baby hawa ni binadamu kweli?[emoji3][emoji3]
yaan huku tunawashangaa wao kuwa laini laini na wao kule usikute wanatushangaa tulivyokuwa na sura ngum ngum kama mawe[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa kmmk walahhaya mambo ni kuyaacha yalivyo,tunavyowashangaa na kuwakejeli hibvi usikute na wao huko wanaangalia picha zetu wanaona meno ya njano,macho mekundu tunavaa ovyo ovyo wanabaki wanacheka .tena usikute wanatudiscuss na mademu zao wanulizana "baby hawa ni binadamu kweli?[emoji3][emoji3]
yaan huku tunawashangaa wao kuwa laini laini na wao kule usikute wanatushangaa tulivyokuwa na sura ngum ngum kama mawe[emoji3][emoji3]