Korea kweli wanaume hakuna!

Kule wote walamba lips mwanaume mmoja Kim jong un
 
Wanaume wa bara la Asia wanapendaga sana kujiweka kikikekike...

Inasikitisha sana...
 
Jamaa wanatamaduni kali, hata movies zao sijaona hata moja ambayo wanakiss, unakuta mwanaume na mwanamke wanaigiza kwenye scene la mapenzi lakini midomo haigusani, na hii iko kote bara Asia hata kwa Wahindi.
Sio kama uzunguni mwendo wa denda nje nje.
India kwa muvi za kisasa 2018- now makis yapo na wale wavaa madera na mitandio ya fut 40 hawapo sana
 
Hao wanaolamba koni macho yamelegea umewaona wapi? Upo korea? Na kama ni picha kwa vyovyote hilo ni tangazo.
Mkuu usiwatetee tu kwa sabb unapenda series zile z kuangalia umejitanda shuka.. [emoji16]
 

Naomba tufunge tread
 

Unazungumzia Korea ipi?
 
haya mambo ni kuyaacha yalivyo,tunavyowashangaa na kuwakejeli hibvi usikute na wao huko wanaangalia picha zetu wanaona meno ya njano,macho mekundu tunavaa ovyo ovyo wanabaki wanacheka .tena usikute wanatudiscuss na mademu zao wanulizana "baby hawa ni binadamu kweli?[emoji3][emoji3]


yaan huku tunawashangaa wao kuwa laini laini na wao kule usikute wanatushangaa tulivyokuwa na sura ngum ngum kama mawe[emoji3][emoji3]
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
umeua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa kmmk walah
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…