KOREA WAKIPIGA SATELITE ITAKUWAJE

KOREA WAKIPIGA SATELITE ITAKUWAJE

Dah! Brother swali lako ni sensitive sana.....Satellite ulinzi wake sio wa kitoto na anaepiga satellite hatagombana na marekani pekee ni ulimwengu mzima.
 
Marekani hawato ruhusu kifaa chochote kisicho eleweka kuvuka nje ya dunia, roket ngapi zinaishia njiani kisha wana clear kuwa ni technical failure
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Nimewaza nikaona hii vita sio nzuri. ..mfano vita hii ikiwa cyber war na Korea wakapiga satelites zote
Its almost impossible because lot of country zinadepend on US satellites.. if NK touch it.. itakuwa ime declare war.. not only with us but na washirika wake
 
Nawaza nnje ya box maana wengi wanafikiri vita ni kupiga miji tu. ..what if they attack satellites. .
 
So 2000 in cyber war unaona ni nyingi
Yep. Halafu unachanganya mambo. Cyber war ni vita vya computers/information systems hasa kwa kutumia internet.
Wewe labda unataka kusema Space- war. Na hilo taifa ulilolitaja ni kama sisimizi anaetaka kupigana na moto.
 
Mchezo utakua mtamu pale watakapokosea na kupiga satellite za watetez wao Russia & China.
 
Kwani satellite inamilikiwa na nani???
Kwani satellite inamilikiwa na nani???
Nchi kubwa nyingi zinamiliki satelite,kila nchi ina idadi ya satelite kutokana na uwezo wake.Kama sijakosea Marekani ndio nchi yenye satelite nyingi zaidi zinafikia 24,China ina 17 inategemea kufikisha idadi ya 24 ifikapo mwishoni mwaka huu n.k.
 
Back
Top Bottom